The Valiant
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,826
- 3,947
mi nakupenda wewe miss chaggaAnampenda ex kuliko wewe.... kajitoa muhanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi nakupenda wewe miss chaggaAnampenda ex kuliko wewe.... kajitoa muhanga
Si unajua masharti ? Sipo singlr mzidi chapaa tu unanipata kiulainimi nakupenda wewe miss chagga
sh ngapi unataka?Si unajua masharti ? Sipo singlr mzidi chapaa tu unanipata kiulaini
Nitakuambia pmsh ngapi unataka?
Deal na huyo x wake. Ikiwezekana mle tigo ataacha. Wanawake ni viumbe dhaifu sana walipewa akili za kuvuka barabara tu mengine ni tegemezi kwa wanaume.Habari zenu ndugu zangu, jamaa na marafiki zangu,
Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa.
Ki ukweli tunaishi vizuri mno ni mnyenyekevu, msafi na ni mzuri mno.
Ila miaka miwili tu baada ya kumuoa nilibaini namba moja ambayo alikuwa haja isave ila ilikuwa ndiyo namba ambayo ilikuwa imepigwa mara nyingi sana.
Nilimbana mpaka akaja akakiri kuwa huyo ndiye aliyekuwa Ex boy friend wake.
Kidume nikampiga marufuku lakini ameendelea kuwasiliana naye mpaka mwezi uliopita licha ya kufikisha mpaka kwa wazee mara kadhaa kwa sababu hiyo.
Sasa najua kuna wataalamu wa mambo ya mahusiano humu ambao mnaweza kunisaidia nifanyaje kwa sababu ki ukweli naelekea kuachana naye kwa sasa.
poa naisubiri meseji yakoNitakuambia pm
Nimecheka kwa Sauti kali sana mpaka watu wamenishangaa hapa nilipo.Daah JF saafi sana.Huo ushauri najaribu tu kuutafakari.Umeandika kwa hisia kali sana ..maisha ya mapenzi ni kazi sana.Kati ya vitu vinavyotesa ni hapo.simu hizi ni mkubaliane tu.Ila kina mama unaweza kutana na sms ukapata strock ghafla paaaaaaa.Kama una uwezo iba namba ya uyo Ex wake....mtafute mchimbe bonge la biti muulize kama ashawahi kutolewa malinda...mjambishe aswaaaa then mfuate mkeo naye mjambishe mwambie huoni hasara kuua mtu...mwambie utampoteza kwenye uso wa dunia uyo ex wake kma bomu lilopiga hiroshima kuwa hutaacha ata vumbi la kuzika
Ni kweeli kabisa!!! Ila mwanaume asimame kwenye nafasi yakeTrue,sio muaminifu at all,au yawezekana ni wale waliokuwa wanataka kuolewa ili ajenge jina kuwa na yeye kaolewa,kwahiyo kaolewa na mtu asiempenda as a result sasa hivi anamkumbuka ex wake,ni matatizo,yako mengi sana haya majanga kwenye hii dunia..
umedhibitishaje mkuu??Namkaza vizuri tubmkubwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Bro anafanya mapenzi na huyo jamaa kuwa makini
Kama unaona ni tatizo na upo Dar nipe namba yako tushauriane namna ya kumkamata kirahisi.Habari zenu ndugu zangu, jamaa na marafiki zangu,
Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa.
Ki ukweli tunaishi vizuri mno ni mnyenyekevu, msafi na ni mzuri mno.
Ila miaka miwili tu baada ya kumuoa nilibaini namba moja ambayo alikuwa haja isave ila ilikuwa ndiyo namba ambayo ilikuwa imepigwa mara nyingi sana.
Nilimbana mpaka akaja akakiri kuwa huyo ndiye aliyekuwa Ex boy friend wake.
Kidume nikampiga marufuku lakini ameendelea kuwasiliana naye mpaka mwezi uliopita licha ya kufikisha mpaka kwa wazee mara kadhaa kwa sababu hiyo.
Sasa najua kuna wataalamu wa mambo ya mahusiano humu ambao mnaweza kunisaidia nifanyaje kwa sababu ki ukweli naelekea kuachana naye kwa sasa.
Usioneshe hisia yoyote we kuwa normal tutamdaka kama unakagua simu yake acha kabisa ili nikupe mbinu tuma namba yako tuonane Dar.Habari zenu ndugu zangu, jamaa na marafiki zangu,
Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa.
Ki ukweli tunaishi vizuri mno ni mnyenyekevu, msafi na ni mzuri mno.
Ila miaka miwili tu baada ya kumuoa nilibaini namba moja ambayo alikuwa haja isave ila ilikuwa ndiyo namba ambayo ilikuwa imepigwa mara nyingi sana.
Nilimbana mpaka akaja akakiri kuwa huyo ndiye aliyekuwa Ex boy friend wake.
Kidume nikampiga marufuku lakini ameendelea kuwasiliana naye mpaka mwezi uliopita licha ya kufikisha mpaka kwa wazee mara kadhaa kwa sababu hiyo.
Sasa najua kuna wataalamu wa mambo ya mahusiano humu ambao mnaweza kunisaidia nifanyaje kwa sababu ki ukweli naelekea kuachana naye kwa sasa.