simon baker
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 522
- 698
mkuu..kama hajaanza kugegedana nae basi wapo on process..
la msingi mbane kweli mwanamke wako///ila in 10 years tatizo inakuja mnajuana sana..na kumbana lazma atajua kukugeuka..
suprise siku peleka watoto kwa ndugu zenu mrudi ndani wawil..funga nyumba mpeleke room funga..(bila yeye kuhisi chochote) mwisho wa siku mkiwa chumbani ndo umwambie its not a coicidence .. toa toy la pistol(hahaha kutokana na ninavyokupatia picha maana ukitoa panga atajua unaweza muonea huruma) mwambie afunguke yoote maana unaujua ukweli a to z...
kabla hamjamalizana wote..ataimba kama drake...
daah ila ase kweli wanaume tunatofautiana mkuu....mie kabla sijamuoa miaka miwili iliyopita alijua kabisa hiki kichwa kibovu akizinguaa tuuu lazma aweke mambo bayana..maana enzi zangu nilimkwida yeye na kumfwata uyo ex wake mpaka ofisin kwa ex wake kumama.ee maana alichangia sendoff jamaa hakutoka ase mjengoni.ata sendoff sikumuona..nilimwambia nikimuonaa nikimnusa nikimsikia ama zake ama zangu..afu kuna kipndi tulitoka outing kimlinzi kilimzingua sijui nini enzi izo nilipiga askari nikalala polisi(nilitokwa 200k) ila mpaka kesho akiniangalia hua animalizi maana timbwili langu analijua basii nikipiga biti ndani ya nyumba laazma ardhi itetemeke..
(ila mkuu wanawake sio wajinga,,unaishi nao kiakili sana tena san..despite mabiti yangu yoote ila lazma niwe makinii,,kabla sijatetemesha najiangalia mimi kwanza nimekosea wapi..pili kama ni tatizo sio langu namkalisha yeye chini yan tufike tamati tatzo lipo wapi kama bado aitoshi,,,namkalisha uyo third party ..na nikiona sasa mambo zengwe,,mamaaaae naunguruma naye..,,na haya mengi tulifanya before ndoa..mkioana mnatakiwa mtulize kichwa kel kwel...usimfwatilie kabisaaaa tena kabisaaa..wewe mtimizie kila kitu ..ataacha maana kuna mda wanawake wanapenda attention ndogo ndogo uwez jua mwana saiz ndo anampa ambayo wewe huumpi so jicheki wewe kwanza sana.
la msingi mbane kweli mwanamke wako///ila in 10 years tatizo inakuja mnajuana sana..na kumbana lazma atajua kukugeuka..
suprise siku peleka watoto kwa ndugu zenu mrudi ndani wawil..funga nyumba mpeleke room funga..(bila yeye kuhisi chochote) mwisho wa siku mkiwa chumbani ndo umwambie its not a coicidence .. toa toy la pistol(hahaha kutokana na ninavyokupatia picha maana ukitoa panga atajua unaweza muonea huruma) mwambie afunguke yoote maana unaujua ukweli a to z...
kabla hamjamalizana wote..ataimba kama drake...
daah ila ase kweli wanaume tunatofautiana mkuu....mie kabla sijamuoa miaka miwili iliyopita alijua kabisa hiki kichwa kibovu akizinguaa tuuu lazma aweke mambo bayana..maana enzi zangu nilimkwida yeye na kumfwata uyo ex wake mpaka ofisin kwa ex wake kumama.ee maana alichangia sendoff jamaa hakutoka ase mjengoni.ata sendoff sikumuona..nilimwambia nikimuonaa nikimnusa nikimsikia ama zake ama zangu..afu kuna kipndi tulitoka outing kimlinzi kilimzingua sijui nini enzi izo nilipiga askari nikalala polisi(nilitokwa 200k) ila mpaka kesho akiniangalia hua animalizi maana timbwili langu analijua basii nikipiga biti ndani ya nyumba laazma ardhi itetemeke..
(ila mkuu wanawake sio wajinga,,unaishi nao kiakili sana tena san..despite mabiti yangu yoote ila lazma niwe makinii,,kabla sijatetemesha najiangalia mimi kwanza nimekosea wapi..pili kama ni tatizo sio langu namkalisha yeye chini yan tufike tamati tatzo lipo wapi kama bado aitoshi,,,namkalisha uyo third party ..na nikiona sasa mambo zengwe,,mamaaaae naunguruma naye..,,na haya mengi tulifanya before ndoa..mkioana mnatakiwa mtulize kichwa kel kwel...usimfwatilie kabisaaaa tena kabisaaa..wewe mtimizie kila kitu ..ataacha maana kuna mda wanawake wanapenda attention ndogo ndogo uwez jua mwana saiz ndo anampa ambayo wewe huumpi so jicheki wewe kwanza sana.