Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Wanaume huwa hatuchepukiKumsamehe ni sawa lakini aseme kwa uwazi kwa nini alirudi kwa X.
Nakupa mbinu ya kuongezea na nakushauri urudie ukauzu. Tafuta panga, tafuta X anakopita kwa Sana, anza kunoa panga akuone huku ukimkata jicho Kali. Kwa mke wako pia. Ile anarudi jioni akute unanoa panga na hakuna kuongea wiki nzima.
Usaliti hausamehekiUpendo huvumilia, upendo husamehe...
Ni maradhi mawardat sio malaziSiku sita ni chache sana,
Halafu malazi ni mengi sana aisee,
NAHUNGA MKONO HOJAUsimuonee huruma mwanamke..
Kwa sababu amesamehe au?You're one of a kind,
Words can't express the way am proud of you,
You are truly a man!!
Vitu vingine haviruhusiwi kuhojiwa viache kama vilivyo havina majibu sahihiInakuwaje sawa kwa mwanaume kuchepuka na mchepuko wenye bwana wake ila akichepuka mke ni kosa la jina??i
Hayo haya justify kuchepukaHuwezi jua sababu zake za kutoka nje..tungesikiliza upambe wa pili babda so huwezi hukumu kwa kusikia upande mmoja mkuu!
Sawa mkuu!Hayo haya justify kuchepuka
Kwenye kuchepuka hakuna excuse
Huyo mke ni wa kuachwa
HallelujahSawa mkuu!
Umempa Red pill, kazi kwake ainywe au ateme.Kununa hajujawahi kua suluhisho la kudumu kwenye migogoro Kama hiyo.
Ulichokifanya Ni kana kwamba uyo mwanamke ni unaiba tu (Mchepuko au hawala yako).
Hujaonesha Yale makucha na mAmlaka ya kiume kuonesha umekasirishwa na alichokifanya.
Na kwasababu umemsamehe kirahisi Sana, nna imani atachepuka Tena maana keshakusoma una moyo mwepesi Sana wa kusamehe haraka.
Ulitakiwa uoneshe advertise Moja matata Sana kama unamwacha Moja kwa moja.
(Hata Kama huna.mpango wa kumuacha)
Pia uyo ex wake nae umchimbe mkwara mzito Sana kwamba umejua na akiendelea dawa yake inachemka. Ajutie kabisa Ujinga aliufanya. Yaan ikiwezekana uyo kijana ndio amkimbie mkeo.
Unapojificha eti unanuna na hufunguki kwa pande zote mbili kilichokukasirisha. Eti unajifulia nguo n.k
Huo unakua Ni ufala.
Wote wanakuona Ni mwanaume mwenye wivu sana na kisirani tu. Na ulivosamehe kirahis wameshakuchora Ni mwanaume kisirani na laini asiye na msimamo kabisa.
BE A MAN and be a HUSBAND[emoji120]
Simamia ndoa yako, ilinde familia yako
Kwanza inaonekana ww bado una mihemuko ya ujana sana, kwa upande wa ushauri waachie wenye experience ya ndoa nazani itakuwa inatosha.unagongewa mke unataka tukupe ushauri wa kudumisha NDOA GANI HAPO??? HAKUNA NDOA kuna mwanaume bwege anaishi na demu mjanjaa... Me nilijua tu uelekeo wako ni kujidai wew ni gentlemen kumbe hamna kitu humo ugongewee tu
Daah hatari kwl kwl[emoji23][emoji23]Hapo kuziludia nguo kufua wewe mwenyewe,imenibidi ncheke kwanza...[emoji1787][emoji1787]
Kunguru wa Manzese IPO hivi;Kwa sababu amesamehe au ?
Huwa mnahusudu sana wanaume wapumbavu ili muweze kuwa control
Mr. Extrovert it's not that but he handled his matters in a CALM way otherwise angemuABUSE physically mkewe pengine hata kumuua lakini ANGER MANAGEMENT yake IPO juu,Hahahah hawa ndio wale majentomen wadada munaowapendaga πππ naona umetoa pongez kwa moyo mkunjufu