Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

Biblia inaruhusu kabisa kumuacha mwanamke mzinifu ila tu kama na wewe sio mzinifu


Kila la kheri katika ndoa yako
 
Mr. Extrovert it's not that but he handled his matters in a CALM way otherwise angemuABUSE physically mkewe pengine hata kumuua lakini ANGER MANAGEMENT yake IPO juu,
Once again congratulations Tears of the Sun
Hata mimi naona jamaa tatizo amelishughulikia kwa umakini kidogo kuliko wengi wetu wanavyoshauri hapa
 
Nawe unajitesa
 
Hapana kuuwana haitakuwa rahisi hata kidogo natumia akili na maarifa sana kukabiliana nalo.
Usicheze na mapenzi
We uko ndani hujioni
Sie nje ndio tunaona this is very bad

Utaweza ishi na mke aliyekusaliti?
Utamuamini?
Akirudia?

Poleh
Ila kuwa mwangalifu
Ni mtihani
 
Mkuu wewe ndiye unaepitia wakati mgumu. Yeye alifanya kosa hilo kwa kukusudia na alikuwa tayari kwa lolote
 
Kwanza inaonekana ww bado una mihemuko ya ujana sana, kwa upande wa ushauri waachie wenye experience ya ndoa nazani itakuwa inatosha.

Sasa hapa umemshauri nn mtu aisee
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hakuna mwnaume boyaa wa kusupport kuchapiwaa...
 
Big up bro kwa huu ujasiri
Unamdanganya mwenzio na yeye aje apigwe tukio kama ulilopigwaga mkeo kukuacha na kwenda kuolewa na hawara yake mwambie ukweli ameshafeli!!!

Ametumia ujasiri wa kiume ila amekuwa mpumbavu kuendelea kudanganywa na huyo mwanamke,wote ni watu wazima humu tambueni silaha kuu ya mwanamke ni machozi once utakapomuelewa akiwa ktk hali ya huzuni hapo hapo ndipo atakapojizalishia defense mechanism ya kujiandaa kujitetea kwa kosa la pili maana ameshaujua udhaifu wako.
 
Jiandae kwa kupigwa tukio kubwa, ww unaweza ukawa umemsamehe lakn nina hakika yy hajakusamehe
 
Sorry mkuu,,kifo chamapema nikifo chanamna ipi?
 

Hapo number 8,vipi alirudisha nauli baada ya kughairi kwenda kuonana na Mama?
 
Hajatokea bado duniani aliyeweza kusema amempa mwanamke adhabu kiasi ikamwingia maana hao wana kawaida ya kusahau wakitongozwa mara mbili sasa wewe na huyo wako aliye na mpenzi tayari wa kumfariji how sure are you kwamba hataenda tena hata ukimuacha leo?

Huyo hana lolote hiyo ni mihemko yake kuogopa kujulikana ni mzinzi kwenye familia yake kama kweli ana pressure ilibidi impande kwa kuwaza ndoa yake alipokuwa anaenda kuvuliwa chupi na x wake sometimes ana X's zaidi ya watano anawapanga anavyotaka.

Usijifariji,huna adhabu uliyompa huyo mwanamke wewe ni loser!!!
 
Mkuu uwe unatupatia update ili tujifunze mbinu za kivita ulizotumia wewe.
 
Yote ya nini we nunua panga jipyaaa,, kila siku amka asubuhi noaaa rudisha ndani,, jioni ukirudi toka mishe zako chukua panga lako noaaa rudisha ndani,, kesho tena ivyo ivyo,, haki ya nani siku tatu nyingi utakua umerudisha heshima ya kiume..
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…