Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

Mwanamke mchepukaji hata familia yake huwa haijali. Wanatoa K hadi hisia na ubongo wote. Ndio maana ukishajua mke wa ndoa tena ndoa kabisa anatoa papa nje, red card is a must!!
 
Hiyo ni kwako. Wengine wanasamehe na maisha yanasonga.
Maboya huwa hayakosi.Inauma sana mtu anaenda kuchepuka huko,halafu anarudi kwako,duuuh! ni dharau mbaya sana,tena kwa ex,hapana kwakweli.
Mwanamke anatakiwa ajiulize,kwanini huyo ex wake hakumuoa na mwishoe akaoa mwingine,haoni alionwa ana kasoro?
Wewe mwanaume unayemuoa mwanamke halafu ukajakujua anachepuka na ex wake,kwanini usijiulize kwanini ex wake hakumuoa,wewe ukaokoteza huko ukamuoa?
Kama mwanamke hakuolewa na ex wake,na bado anachepuka kwa huyohuyo ex wake,ujue hakuna atakayekuja kuwatenganisha,labda kifo pekekee,nawewe mwanaume ambaye mkeo anachepuka na unamsamehe,kubali kuishi maisha ya kuchapiwa tu hali ambayo maex wa mkeo waliikataa,wakamwambia mkeo aolewe tu,na wao waoe wanawake wenye sifa wazitakazo,halafu kama ni mapenzi,watakua wanafanya.
Ni fedheha sana mwanaume kuchapiwa na ukajua halafu eti ukasamehe,nadhani hata mwanamke anapolia,anakua anajidifendi kua huyu boya akiniacha,sijui ntapata boya wa hivi wapi tena,maana wanaume wengine naweza nikampata akaniua kwa huu ujinga ninaomfanyia huyu mpumbavu.
 
Kama na wewe mchepukaji haisadii, utagongewa tu hakuna namna. Weka hiyo misimamo kama wewe ni msafi.
 
Hapo anaye tilia huruma ni wewe umetombewa halafu Bado una lala mzungu wanne ume Susa kula chakula anacho pika mkeo wakati unatoa hela zako , mke umeoa Kwa Pesa zako lako lakini Bado anakuumiza kihisia ,

Honestly Mimi ndiye naona wewe ndiye unaye teseka you're not happy with your life you have choose [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Bad enough mkeo ana kuigizia kuwa ana kosa furaha Kwa kilicho tokea na wewe Una kubali umenasa kwenye mtego

Kuna msemo mmoja vijana Huwa Wana sema ---- kabla hauja msamehe mwanamke aliye kusaliti fikiria kwamba wakati ana tiwa Kuna wakati dushe lilichomoka aka lirudishia Kwa ndani na alipo kuwa ana fika kileleni alisema baby nakojooooaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Kwisha habari yako , jiandae kupewa mimba Ambayo sio Yako
 
Inaonekana yuko kwenye majuto, naweza sema msamehe.

Ila kwangu adhabu ya kosa la usaliti ni straight red card.
Una mshauri mtu kitu Ambacho wewe huwezi kukitenda [emoji16]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mtakuja kumuua Kwa stress,
 
Umejuaje mkuu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuu hakuna mwanamke anaye achana na mchepuko wake eti kwaajili ya kufumaniwa , sana sana utakavyo mu- abuse huyo bwana wake wa kando ndio unazidi kumfanya akuchukie na kutamani kumpa papa tena na tena ,
 
Agreed [emoji419][emoji419][emoji419][emoji16]
 
Mkuu malizia tuchukue point
 
Wanawake wana hila kifupi yeye ndiyo ameshinda hakika atarudia kuchepuka na hutajua, kwasababu kosa lake ni wewe kujua
 
... ni adhabu nzuri ila ni suala la muda tu huwa vichwa vya panzi hao... lazima X atapelekewa tena mbususu sababu anaonekana ni mchakataji mzuri na sababu huenda sababu iliyowaachanisha haikuwa ya msingi... tatizo vile vikao vyetu hamuhudhurii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…