Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

Kumsamehe ni sawa lakini aseme kwa uwazi kwa nini alirudi kwa X.

Nakupa mbinu ya kuongezea na nakushauri urudie ukauzu. Tafuta panga, tafuta X anakopita kwa Sana, anza kunoa panga akuone huku ukimkata jicho Kali. Kwa mke wako pia. Ile anarudi jioni akute unanoa panga na hakuna kuongea wiki nzima.
 
Umeenda vizuri ukaharibu mwishoni.

Kama uliamua kumsamehe baada ya kukiri ilitakiwa umlambe makofi kadhaa kwa hasira ndio umpe onyo. Ulivyo samehe kilaini hivyo ndio maana bado haamini kama kweli umemsamehe.
Huyu jamaa ame-act kama brother mmoja jirani yetu kwenye miaka ya 2004 yeye alimfumania mkewe na mwanaume ila toka muda ule aliposhuhudia kile kitendo mwezi mmoja na siku mbele hakuwahi kuongea lolote na yule mwanamke,hata salamu tu hakuipokea alikaa kimya kama bubu.

Waliishi nyumba moja,jamaa akawa analala sebuleni kula anakula anakojua mwenyewe mwanamke akawa anamlilia jamaa hasemi chochote kumjibu mwisho mwanamke akahisi labda jamaa anataka kumuuwa akakimbilia kwao week ya kwanza ya pili wakamuuliza upo hapa wewe si umeolewa?akawaambia mpigieni mume wangu atawaeleza mume kupigiwa akasema muulizeni mwenyewe.

To cut a long story mwanamke alikuwa analia tu hakutaka kusema ukweli akitaka jamaa ndo alalamike mwisho wakwe wakamwita kikao akaenda kila akiulizwa anasema muulizeni huyo mtoto wenu mzee akamwambia mkewe aende akaongee na mwanae jibu likaja alifumaniwa wakamuuliza jamaa tunafanyaje alichojibu akawaambia nilitaka akiri hilo mwenyewe bakini na mtoto wenu.

Unasameheje mwanamke mzinifu?nimeshangaa sana yaani nikiwaza huo uchafu kichwa kinaniuma kama imenitokea mimi.
 
Yote ya nini?? Kama amediriki kuchepuka basi ni dhahiri hathamini penzi lako wala utu wako.

Maradhi mengi siku hizi ya nini kuleteana vifo mapema. Mwenye asili yake haachi. Leo ka cheat na X kesho ata cheat na Y yote akijua adhabu itakuwa kununiwa na yeye atajinyong'onyesha na wewe utasamehe.

Pale ulipogundua kacheat ndipo palipaswa pawe ukomo wa ndoa yenyewe. Mpaka wewe kujua inamaanisha aidha aliamini sana 'ujanja' wake ama alitambua kuwa ni mpumbavu kwake.

Niamini hata mkisameheana hutomuangalia kwa mtazamo ule ule tena kabla ya kumkamata, daima atakuwa msaliti kwako hivyo adhabu ni yenu wote.
Unapoingia kwenye ndoa na familia lazima uwe tayari kupambana na changamoto kama hizi.
 
Huyu jamaa ame-act kama brother mmoja jirani yetu kwenye miaka ya 2004 yeye alimfumania mkewe na mwanaume ila toka muda ule aliposhuhudia kile kitendo mwezi mmoja na siku mbele hakuwahi kuongea lolote na yule mwanamke.

Waliishi nyumba moja,jamaa akawa analala sebuleni kula anakula anakojua mwenyewe mwanamke akawa anamlilia jamaa hasemi chochote kumjibu mwisho mwanamke akahisi labda jamaa anataka kumuuwa akakimbilia kwao week ya kwanza ya pili wakamuuliza upo hapa wewe si umeolewa?akawaambia mpigieni mume wangu atawaeleza mume kupigiwa akasema muulizeni mwenyewe.

To cut a long story mwanamke alikuwa analia tu hakutaka kusema ukweli akitaka jamaa ndo alalamike mwisho wakwe wakamwita kikao akaenda kila akiulizwa anasema muulizeni huyo mtoto wenu mzee akamwambia mkewe aende akaongee na mwanae jibu likaja alifumaniwa wakamuuliza jamaa tunafanyaje alichojibu akawaambia nilitaka akiri hilo mwenyewe bakini na mtoto wenu.

Unasameheje mwanamke mzinifu?nimeshangaa sana yaani nikiwaza huo uchafu kichwa kinaniuma kama imenitokea mimi.
Safi sana
 
Kila kitu najifanyia hadi nguo chafu zote za kwangu nakusanya na kufua mwenyewe nikapata nafasi(Ninapokuta amezifua narudia kufua)[emoji15][emoji3064]
Mk wake ataendelea kuliwa na mchepuko wake si ajabu mpaka [emoji872]
Anampaaa
Jamaa yeye kazi yake ni kumnunia tu

Badala apige chini aendele na maisha yake yeye Ana mngangania

Ova
 
Back
Top Bottom