Ukihamua kuwa kwenye familia lazima uwe tayari kuvumilia, kuzikabili changamoto kama hizi, kwa kuwa alarm imeshagonga uhamuzi utakuwa rahisi sana kwangu.
Bwana Tears of the sun unastahili noble prize ya changamoto ya ndoaMke wangu anatarajiwa kuruhusiwa Kutoka hospitalini hapo kesho kwa mujibu wa daktari alivyosema leo. Jana nilimpeleka mtu wa saiklojia, hili ajarabu kuirudisha saiklojia yake sawa. Baada ya kurusiwa Kutoka hospitalini tutakuwa na kikao Pande zote mbili (wazazi wangu na wazazi wake), Hiki kikako kikimalizika salama, maamuzi yangu ya mwisho yatategemeana na kikao hicho (Mengine yaliyoendelea siwezi kuyaandika, lakini nisema kwamba bado hili suala ntalishughulikia na kulimaliza salama)
Ulimwengu wa sasa ni neema tu ya Mungu, tunakutana nao ukubwani ujui mangapi kafanya nyuma kabla yako heri usiyasikie.Subiri kuchapiwa Tena utarudia hapa
Huyu jamaa kwa namna alivyopambana na suala lake hili, hakika nimepata somo kidogo.Ukiona mkeo wanakumbushiabna na x wake ujue kuna mambo hawajamaliza. Hapo lazima watafanya kwa siri sana kiasi kwamba kugundua itakuwa ngumu.
Hapo cha msingi kama umemsamehe mpe vigezo na masharti kama siku ukimkuta ndiyo mwisho wa kupiga chini mazima
Huyu jamaa kwa namna alivyopambana na suala lake hili, hakika nimepata somo kidogo.
Uko sahihi, ila kwa jinsi alivyopambana amejitahidiKitu wanaume wengi tunakosea kwenye mahusiano. Unatakiwa umpe mwanamke masharti na vigezo.
Ajue kabisa akifanya kosa hili adhabu yake ni hii.
Ila kiukweli 100% ukishajua mkeo analiwa tena X wake kuna upendo hutoweka. Utamchukulia kawaida halafu moyoni utakuwa na hasira. Siku akikiudhi unaweza hata kumtukana hata mbele za watu.
Sidhani km unaweza kupata muda wa kukaa na mkeo mkapiga story na mkacheka pamoja.
Najua alikuwa na huyo jamaa amepiga hata km ni sana. Shida inakuja unagongewa mara ya pili.
Mtaishi ila ule upendo haupo tena.
Uko sahihi, ila kwa jinsi alivyopambana amejitahidi
Tusubiri kikao cha mwisho alichosema tutajua maamuzi yake ya mwishoNi kweli ila raha ya ndoa mfurahi, mcheke na mpendane. Unakuwa na mwenza wako, unamtania, mnacheka hata wakati mwingine mnacheza muziki pamoja ila vinapotea pindi usaliti unapoingia.
Hapo mtaishi ila ule upendo haupo ukikumbuka usaliti wake unapata hasira.
Akikosea unaweza kufikiri anafanya makusudi.
Kwa hapo ww ndo unapitia magum mkuu.... Huyo bi dada anakuigizia tuTatizo kubwa lilianza pale nilipogundua anachepuka na ex wake. Baada ya kuligundua hilo sikutaka kuchukua hatua za shari sana papo kwa papo, bali nilichukua hatua ambazo mpaka leo anashindwa kuelewa afanyeje, sasa imefikia hatua muda wote ni analia tu, saikolojia hayupo sawa na kama anataka kuchanganyikiwa hivi.
Baada ya kugundua kwamba anachepuka nilichukua maamuzi yafuatayo
1. Siku hiyo hiyo niliyogundua sikutaka kumuuliza kama ni kweli au siyo kweli kwa sababu nilishajihakikishia kwa asilimia 100.
2. Sikula Chakula chake, nilifika naingia jikoni na kuandaa Chakula mwenyewe (hii imeendelea hadi leo)
3. Najitahidi sana niwahi kurudi nyumbani tofauti na siku za nyuma.
4. Tukilala kitandani mimi nageukia mzungu wa nne.
5. Tangia siku hiyo sijawahi kumuomba unyumba(japo anaweka mazingira ya jambo hili kila siku)
6. Akiniuliza namjibu kidogo halafu naendelea na utaratibu wangu.
7. Kila kitu najifanyia hadi nguo chafu zote za kwangu nakusanya na kufua mwenyewe nikipata nafasi(Ninapokuta amezifua narudia kufua)
8. Simtukani wala kumuongelesha vibaya bali nafanya mambo yangu ndani ya nyumba kivyangu.
9. Baada ya kuona hivyo, akasema anataka akaonane na Mama yake(ilikuwa Ijumaa usiku, nikampatia nauli muda huo huo na kumwambia asubuhi na mapema aende, ghafla akasema ameahirisha hadi sasa yupo)
10. Nimeacha kuchangia naye kitu chochote ndani ya nyumba isipokuwa sehemu ya kulala tu(kitandani na penyewe mzungu wa nne au nalala sebuleni wakati mwingine).
Sasa leo ni siku ya 6 tangia nimeanza kuishi hivyo na mke, mke wangu amenyongonyea ghafla, amekonda, amekuwa mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote.
Katika kipindi hiki chote alijua sababu ya mimi kuishi hivyo ni yeye kuchepuka, hii ni baada ya jana jioni kuniita Chumbani na kusema anajutia sana kufanya vile na hatarudia, jambo baya zaidi akasema ameshafikiria mara mbili kunywa Sumu, anaona hana thamani tena kwangu, Dah [emoji24][emoji24] nilimwonea huruma sana na nikaamua kumsamehe tuendelee na maisha lakini naona hali haijabadilika kwake yaani ni mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote, kiufupi anapitia wakati mgumu sana.
Wito kwa wanaume na wanawake hasa wanaoishi pamoja kama mke na mume kwa namna yoyote ile, kupigana siyo adhabu tosha ya kusuruhisha migogoro, mimi huyu mwanamke nimempa adhabu hiyo lakini naona imemnyoosha kweli kweli japo naona kabisa imemuharibu kisaikolojia kabisa.
Mke kucheat na ex wake ni jambo kubwa Sana, wanaume walio kamili na wanawake makini wanaelewa maana yake., Hilo sio kosa la kusamehe kabisa.Tatizo kubwa lilianza pale nilipogundua anachepuka na ex wake. Baada ya kuligundua hilo sikutaka kuchukua hatua za shari sana papo kwa papo, bali nilichukua hatua ambazo mpaka leo anashindwa kuelewa afanyeje, sasa imefikia hatua muda wote ni analia tu, saikolojia hayupo sawa na kama anataka kuchanganyikiwa hivi.
Baada ya kugundua kwamba anachepuka nilichukua maamuzi yafuatayo
1. Siku hiyo hiyo niliyogundua sikutaka kumuuliza kama ni kweli au siyo kweli kwa sababu nilishajihakikishia kwa asilimia 100.
2. Sikula Chakula chake, nilifika naingia jikoni na kuandaa Chakula mwenyewe (hii imeendelea hadi leo)
3. Najitahidi sana niwahi kurudi nyumbani tofauti na siku za nyuma.
4. Tukilala kitandani mimi nageukia mzungu wa nne.
5. Tangia siku hiyo sijawahi kumuomba unyumba(japo anaweka mazingira ya jambo hili kila siku)
6. Akiniuliza namjibu kidogo halafu naendelea na utaratibu wangu.
7. Kila kitu najifanyia hadi nguo chafu zote za kwangu nakusanya na kufua mwenyewe nikipata nafasi(Ninapokuta amezifua narudia kufua)
8. Simtukani wala kumuongelesha vibaya bali nafanya mambo yangu ndani ya nyumba kivyangu.
9. Baada ya kuona hivyo, akasema anataka akaonane na Mama yake(ilikuwa Ijumaa usiku, nikampatia nauli muda huo huo na kumwambia asubuhi na mapema aende, ghafla akasema ameahirisha hadi sasa yupo)
10. Nimeacha kuchangia naye kitu chochote ndani ya nyumba isipokuwa sehemu ya kulala tu(kitandani na penyewe mzungu wa nne au nalala sebuleni wakati mwingine).
Sasa leo ni siku ya 6 tangia nimeanza kuishi hivyo na mke, mke wangu amenyongonyea ghafla, amekonda, amekuwa mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote.
Katika kipindi hiki chote alijua sababu ya mimi kuishi hivyo ni yeye kuchepuka, hii ni baada ya jana jioni kuniita Chumbani na kusema anajutia sana kufanya vile na hatarudia, jambo baya zaidi akasema ameshafikiria mara mbili kunywa Sumu, anaona hana thamani tena kwangu, Dah [emoji24][emoji24] nilimwonea huruma sana na nikaamua kumsamehe tuendelee na maisha lakini naona hali haijabadilika kwake yaani ni mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote, kiufupi anapitia wakati mgumu sana.
Wito kwa wanaume na wanawake hasa wanaoishi pamoja kama mke na mume kwa namna yoyote ile, kupigana siyo adhabu tosha ya kusuruhisha migogoro, mimi huyu mwanamke nimempa adhabu hiyo lakini naona imemnyoosha kweli kweli japo naona kabisa imemuharibu kisaikolojia kabisa.
Umeandika vizuri kama vile wewe huchepukagi. Au ndio mkuki kwa nguruwe ila kwa binadamu mchungu.Yote ya nini?? Kama amediriki kuchepuka basi ni dhahiri hathamini penzi lako wala utu wako.
Maradhi mengi siku hizi ya nini kuleteana vifo mapema. Mwenye asili yake haachi. Leo ka cheat na X kesho ata cheat na Y yote akijua adhabu itakuwa kununiwa na yeye atajinyong'onyesha na wewe utasamehe.
Pale ulipogundua kacheat ndipo palipaswa pawe ukomo wa ndoa yenyewe. Mpaka wewe kujua inamaanisha aidha aliamini sana 'ujanja' wake ama alitambua kuwa wewe ni mpumbavu kwake.
Niamini hata mkisameheana hutomuangalia kwa mtazamo ule ule tena kabla ya kumkamata, daima atakuwa msaliti kwako hivyo adhabu ni yenu wote.
Vipi wewe mwanaume ukichepuka yeye afanyeje?Mwanamke anaeamua kuchepuka akiwa na wewe ni hatari kuliko bomu la nyuklia.
Wanawake wako makini sana inapokuja swala la kuchepuka ama kugawa penzi, mwanamke akiamua kugawa penzi huyu amedhamiria kwa 100% na yuko tayari kwa lolote.
Kanuni ni moja tu, mwanamke akikupiga risasi ama akakupiga panga ya shingo lakini bahati nzuri ukapona, huyo msamehe na mpe mapenzi zaidi ya mwanzo ila mwanamke akichepuka kwa sababu yoyote ile huyo hakuna msamaha. Huyo ni hatari kuliko bomu la nyuklia.
Ni wewe uchague, uishi na bomu ndani ya nyumba au lah.
Mkuu hongera sana kwa namna unavyo lishughulikia hilo tatizo Mungu akuongoze ulimalize salama. Uwe unatuletea update kuna vitu tunajifunza wengine kupitia wewe.Mke wangu anatarajiwa kuruhusiwa Kutoka hospitalini hapo kesho kwa mujibu wa daktari alivyosema leo. Jana nilimpeleka mtu wa saiklojia, hili ajarabu kuirudisha saiklojia yake sawa. Baada ya kurusiwa Kutoka hospitalini tutakuwa na kikao Pande zote mbili (wazazi wangu na wazazi wake), Hiki kikako kikimalizika salama, maamuzi yangu ya mwisho yatategemeana na kikao hicho (Mengine yaliyoendelea siwezi kuyaandika, lakini nisema kwamba bado hili suala ntalishughulikia na kulimaliza salama)