Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

Dah! Mkuu kama ulimpora Uyo ex -wake yakupasa kuvumilia tuu. Ukioa mtaa wako jaribu kuhamisha makazi kidogo ya kuishi mfano Dar to Shinyanga🤣🤣

Hapo utamfanya mkeo abadili fikra zake zote na kuwa na future na wewe ingawa haimaanishi kuwa hatachepuka tena. Possibility ya kufanya hivyo ni ndogo sana kuliko mtaani kwao.
 
Mke ana wame wawili
Mume mkolezo na mume mpauko 😂😂.
Kaka umepigwa igizo wazi wazi
 
kutofautiana kwa mtazamo kusiwe sababu ya kuhukumiana. Nahisi ulikuwa na uwezo wa kutoa maoni yako kwa maudhui ya uzi wa mtoa mada na sio kujaribu kuhukumu wachangiaji pia.

Kujibu swali lako tu, mimi sichepuki, kwa vile kila ulikekutana nae alikuchepekia haimaniishi wanaume wote wachepukaji.
 
Kuachana hao ni ngumu. Sisi tunakuombea yaishe salama kama mdau wetu humu.
 

Nimependa sana unavyompigania mkeo, kukosea kupo na huyo dada itakua kapata funzo.

Mungu aitunze ndoa yenu
 
Hiyo adhabu uliyompa usingemsamehe angekufa,hio adhabu iskie tu kwa jirani.
 

Mungu azidi kukubariki una hekima sana
 
Ukweli ni kwamba wewe umejipa adhabu kupitia kosa lake na umejiumiza kisaikolojia.
 
Mm nilioa kabisa, yaan hata mwez haikupita nimekuja kugundua ana kijana wa kawaida sana, kweli nilijiuliza maswali mengi sana ambayo yalikosa majibu, yaan mnatoka kufunga ndoa, harusi mtu haoni hata uchungu wa gharama zote???.

TUKAYAONGEA YAKAISHA
Hapa kwanza nilikosa amani kabisa, yaan hata ile furaha ya ndoa ilinisha, pili nililibeba kwa lengo la sikutaka kuonekana ndoa yangu imedumu kwa mwezi mmoja, hivyo nililibeba angalau nisogeze siku huku nikiendelea kufanya tafiti.

Huwez amin amerudia jambo lilelile, nikaona hapa sasa hakuna jipya na angarau kidogo nimesogeza siku nikampiga taraka akafie mbele
 
Malaya ni malaya hutuna jinsi wanaume alisilimia kubwa wake zetu wana umalaya fulani wa siri ndo maana migogoro na talaka kila siku
 
Hahaha jamaa anachapiwa utamu wake halafu anazila kula, anafua nguo zake mwenyewe, anapika mwenyewe mbaya zaidi analala mzungu wanne akili za kijinga kabisa
Halafu anajipongeza eti ametoa adhabu kwa mwanamke hata wiki haijaisha ana conclude kuwa mkeo anajutia na amekuwa na stress

Jiuulize baada ya kukataa haki yako kwa huo muda vipi siku aliyokupa, je alikupa kwa kiwango kisicho cha kawaida au bado alikuwa na huzuni

Fanya analysis kwa hiyo siku aliyokupa kama aliifurahia basi huyo hajajutia

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Its a soft approach but doesn't mean it works.

Mwanamke akishacheat ina maana either haridhiki na wewe au ana tamaa zake za asili (zipo kwenye damu DNA) za kupenda kujaribu shaft na ladha tofauti tofauti.

Kwa hiyo iwe ni kutoridhika au tamaa zake za asili (DNA) either way hizo hazinaga dawa mzee baba.

Unune, ujifulie nguo, ujipikie, usisex,umpige mpaka apasuke, upeleke case kwa wazazi hata umsemee kwa viongozi wa dini none of them is going to work.

Mwanaume usiwe na uoga eti ndoa ikivunjika jamii itakuonaje au sijui eti watoto wataishije, kwa awaida hivyo vitu kwenye jamii vinamuathiri sana mwanamke na sio mwanaume.
Ukiona mwanamke hajali hayo yote na akaccheat bro you'e the walking dead asipokugeuza zuzu basi atakuua iwe directly kwa sumu au indirectly kwa ngoma, presha na visukari.

Acha hizo dhana za kizamani kwenye ulimwengu wa sasa, mwanamke akicheat na ukajihakikishia kwa asilimia mia piga chini haraka iwezekanavyo, ikiwezekana hata usimwambie sababu ya kumuacha fukuza tu.
 
suluhisho ungemwambia amletebex wake mmpige threesome ndo umsamehee
 
Kama huja muoa unamtesa bure.
Muoe kwanza ndio mambo mengine yaendelee.

Unaweza dhani kachepuka hiyo siku tu kumbe umemkamata siku hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…