Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

Kumsamehe ni sawa lakini aseme kwa uwazi kwa nini alirudi kwa X.

Nakupa mbinu ya kuongezea na nakushauri urudie ukauzu. Tafuta panga, tafuta X anakopita kwa Sana, anza kunoa panga akuone huku ukimkata jicho Kali. Kwa mke wako pia. Ile anarudi jioni akute unanoa panga na hakuna kuongea wiki nzima.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa sababu niligundua anachepuka na sikuwahi kumkamata akiwa na huyo ex kitandani na baada ya mke wangu kupitia matatizo sana na hali mbaya sana ya kiafya na kuruhusiwa Kutoka hospitalini, kilifanyika kikao cha Pande zote mbili, upande wa familia yangu & familia yake, nilihamua kumsamehe mke wangu na kwa sasa maisha yanaendelea, mimi na mke wangu tunaendelea kuishi pamoja.

Asanteni sana kwa wale mliotoa ushauri wenu(mzuri au mbaya) na sikuweza kuufanyia kazi ushauri wenu.

Mwisho kabisa, ndoa inahitajika uvumilivu sana, unapoona wazazi wako wameishi pamoja miaka 30 n.k usisifikiri ni rahisi,kwahiyo kama hujajiaadaa kupambana na changamoto za ndoa na familia usijaribu kabisa kuoa/kuolewa.
Najuta kuharibu ushauri wangu
 
Tatizo kubwa lilianza pale nilipogundua anachepuka na ex wake. Baada ya kuligundua hilo sikutaka kuchukua hatua za shari sana papo kwa papo, bali nilichukua hatua ambazo mpaka leo anashindwa kuelewa afanyeje, sasa imefikia hatua muda wote ni analia tu, saikolojia hayupo sawa na kama anataka kuchanganyikiwa hivi.

Baada ya kugundua kwamba anachepuka nilichukua maamuzi yafuatayo

1. Siku hiyo hiyo niliyogundua sikutaka kumuuliza kama ni kweli au siyo kweli kwa sababu nilishajihakikishia kwa asilimia 100.

2. Sikula Chakula chake, nilifika naingia jikoni na kuandaa Chakula mwenyewe (hii imeendelea hadi leo)

3. Najitahidi sana niwahi kurudi nyumbani tofauti na siku za nyuma.

4. Tukilala kitandani mimi nageukia mzungu wa nne.

5. Tangia siku hiyo sijawahi kumuomba unyumba(japo anaweka mazingira ya jambo hili kila siku)

6. Akiniuliza namjibu kidogo halafu naendelea na utaratibu wangu.

7. Kila kitu najifanyia hadi nguo chafu zote za kwangu nakusanya na kufua mwenyewe nikipata nafasi(Ninapokuta amezifua narudia kufua)

8. Simtukani wala kumuongelesha vibaya bali nafanya mambo yangu ndani ya nyumba kivyangu.

9. Baada ya kuona hivyo, akasema anataka akaonane na Mama yake(ilikuwa Ijumaa usiku, nikampatia nauli muda huo huo na kumwambia asubuhi na mapema aende, ghafla akasema ameahirisha hadi sasa yupo)

10. Nimeacha kuchangia naye kitu chochote ndani ya nyumba isipokuwa sehemu ya kulala tu(kitandani na penyewe mzungu wa nne au nalala sebuleni wakati mwingine).

Sasa leo ni siku ya 6 tangia nimeanza kuishi hivyo na mke, mke wangu amenyongonyea ghafla, amekonda, amekuwa mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote.

Katika kipindi hiki chote alijua sababu ya mimi kuishi hivyo ni yeye kuchepuka, hii ni baada ya jana jioni kuniita Chumbani na kusema anajutia sana kufanya vile na hatarudia, jambo baya zaidi akasema ameshafikiria mara mbili kunywa Sumu, anaona hana thamani tena kwangu, Dah [emoji24][emoji24] nilimwonea huruma sana na nikaamua kumsamehe tuendelee na maisha lakini naona hali haijabadilika kwake yaani ni mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote, kiufupi anapitia wakati mgumu sana.

Wito kwa wanaume na wanawake hasa wanaoishi pamoja kama mke na mume kwa namna yoyote ile, kupigana siyo adhabu tosha ya kusuruhisha migogoro, mimi huyu mwanamke nimempa adhabu hiyo lakini naona imemnyoosha kweli kweli japo naona kabisa imemuharibu kisaikolojia kabisa.
Swaga tu hizo,
HAKUNA MWANAMKE ANAYE WEZA KUNYWA SUMU KWA SASA
 
Yaani kama huyo mwanamke angekuwa mke wangu mimi basi angekula makofi na mikwara ya kutosha, na hilo fala lake ningemfanya kitu mbaya mpaka angeomba mungu amchukue hata kesho.
Yaani mkuu inakuaje unamsusia mkeo badala ya kusimama kama mwanaume na umuonyeshe maana ya kuwa mume ndani ya ndoa?

Unatakiwa uwe na side mbili kama shilingi upande mmoja ni mwema na mwengine ni mwenye roho mbaya mpaka satan anapiga magoti mbele yako, na kama mkeo akizingua basi muoneshe upande wako wa pili na atakuheshimu milele au otherwise atakufanya boya milele.

Hakikisha mkeo anajua wewe sio mtu wa utani utani mbele ya ujinga, unatakiwa umuoneshe kwamba I'm the alpha here!
 
Kwa sababu niligundua anachepuka na sikuwahi kumkamata akiwa na huyo ex kitandani na baada ya mke wangu kupitia matatizo sana na hali mbaya sana ya kiafya na kuruhusiwa Kutoka hospitalini, kilifanyika kikao cha Pande zote mbili, upande wa familia yangu & familia yake, nilihamua kumsamehe mke wangu na kwa sasa maisha yanaendelea, mimi na mke wangu tunaendelea kuishi pamoja.

Asanteni sana kwa wale mliotoa ushauri wenu(mzuri au mbaya) na sikuweza kuufanyia kazi ushauri wenu.

Mwisho kabisa, ndoa inahitajika uvumilivu sana, unapoona wazazi wako wameishi pamoja miaka 30 n.k usisifikiri ni rahisi,kwahiyo kama hujajiaadaa kupambana na changamoto za ndoa na familia usijaribu kabisa kuoa/kuolewa.
Nakuhakikishia mkeo ataendelea kuchepuka na this time hutojua.
 
Tatizo kubwa lilianza pale nilipogundua anachepuka na ex wake. Baada ya kuligundua hilo sikutaka kuchukua hatua za shari sana papo kwa papo, bali nilichukua hatua ambazo mpaka leo anashindwa kuelewa afanyeje, sasa imefikia hatua muda wote ni analia tu, saikolojia hayupo sawa na kama anataka kuchanganyikiwa hivi.

Baada ya kugundua kwamba anachepuka nilichukua maamuzi yafuatayo

1. Siku hiyo hiyo niliyogundua sikutaka kumuuliza kama ni kweli au siyo kweli kwa sababu nilishajihakikishia kwa asilimia 100.

2. Sikula Chakula chake, nilifika naingia jikoni na kuandaa Chakula mwenyewe (hii imeendelea hadi leo)

3. Najitahidi sana niwahi kurudi nyumbani tofauti na siku za nyuma.

4. Tukilala kitandani mimi nageukia mzungu wa nne.

5. Tangia siku hiyo sijawahi kumuomba unyumba(japo anaweka mazingira ya jambo hili kila siku)

6. Akiniuliza namjibu kidogo halafu naendelea na utaratibu wangu.

7. Kila kitu najifanyia hadi nguo chafu zote za kwangu nakusanya na kufua mwenyewe nikipata nafasi(Ninapokuta amezifua narudia kufua)

8. Simtukani wala kumuongelesha vibaya bali nafanya mambo yangu ndani ya nyumba kivyangu.

9. Baada ya kuona hivyo, akasema anataka akaonane na Mama yake(ilikuwa Ijumaa usiku, nikampatia nauli muda huo huo na kumwambia asubuhi na mapema aende, ghafla akasema ameahirisha hadi sasa yupo)

10. Nimeacha kuchangia naye kitu chochote ndani ya nyumba isipokuwa sehemu ya kulala tu(kitandani na penyewe mzungu wa nne au nalala sebuleni wakati mwingine).

Sasa leo ni siku ya 6 tangia nimeanza kuishi hivyo na mke, mke wangu amenyongonyea ghafla, amekonda, amekuwa mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote.

Katika kipindi hiki chote alijua sababu ya mimi kuishi hivyo ni yeye kuchepuka, hii ni baada ya jana jioni kuniita Chumbani na kusema anajutia sana kufanya vile na hatarudia, jambo baya zaidi akasema ameshafikiria mara mbili kunywa Sumu, anaona hana thamani tena kwangu, Dah [emoji24][emoji24] nilimwonea huruma sana na nikaamua kumsamehe tuendelee na maisha lakini naona hali haijabadilika kwake yaani ni mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote, kiufupi anapitia wakati mgumu sana.

Wito kwa wanaume na wanawake hasa wanaoishi pamoja kama mke na mume kwa namna yoyote ile, kupigana siyo adhabu tosha ya kusuruhisha migogoro, mimi huyu mwanamke nimempa adhabu hiyo lakini naona imemnyoosha kweli kweli japo naona kabisa imemuharibu kisaikolojia kabisa.
Nakupa pongeI. Bandiko lako la maana sana. Nitalikopi na kuliweka kumbukumbu yakija nitokea nitumie njia hii.

Jf idumu, tunapata.mafunzo.mengi japokua wakati mwengine kunakuwaga na thredi wenyewe wanasema CHAI.
 
Mwanaume unanuna na hakika hukuhuzuria kikao ,mwanaume fanya maamuzi ya kiume yaani unasubiri mwanamke akiri then maisha yaendelee au
 
Nakupa pongeI. Bandiko lako la maana sana. Nitalikopi na kuliweka kumbukumbu yakija nitokea nitumie njia hii.

Jf idumu, tunapata.mafunzo.mengi japokua wakati mwengine kunakuwaga na thredi wenyewe wanasema CHAI.
sasa hii chai ina maji mengi kiujumla mpishi hajui chochote
 
Kama unaweza tafuta sababu halisi kwanini alichepuka? Ndoa yenu ina miaka mingapi? Bila kutatua chanzo cha kuchepuka- hali itajirudia. Inawezekana na wewe mwenyewe unatakiwa kwenda darasani - wanaume wengi wanadhani wanajua kumbe - hawajui.
sahihi mkuu
 
Tatizo kubwa lilianza pale nilipogundua anachepuka na ex wake. Baada ya kuligundua hilo sikutaka kuchukua hatua za shari sana papo kwa papo, bali nilichukua hatua ambazo mpaka leo anashindwa kuelewa afanyeje, sasa imefikia hatua muda wote ni analia tu, saikolojia hayupo sawa na kama anataka kuchanganyikiwa hivi.

Baada ya kugundua kwamba anachepuka nilichukua maamuzi yafuatayo

1. Siku hiyo hiyo niliyogundua sikutaka kumuuliza kama ni kweli au siyo kweli kwa sababu nilishajihakikishia kwa asilimia 100.

2. Sikula Chakula chake, nilifika naingia jikoni na kuandaa Chakula mwenyewe (hii imeendelea hadi leo)

3. Najitahidi sana niwahi kurudi nyumbani tofauti na siku za nyuma.

4. Tukilala kitandani mimi nageukia mzungu wa nne.

5. Tangia siku hiyo sijawahi kumuomba unyumba(japo anaweka mazingira ya jambo hili kila siku)

6. Akiniuliza namjibu kidogo halafu naendelea na utaratibu wangu.

7. Kila kitu najifanyia hadi nguo chafu zote za kwangu nakusanya na kufua mwenyewe nikipata nafasi(Ninapokuta amezifua narudia kufua)

8. Simtukani wala kumuongelesha vibaya bali nafanya mambo yangu ndani ya nyumba kivyangu.

9. Baada ya kuona hivyo, akasema anataka akaonane na Mama yake(ilikuwa Ijumaa usiku, nikampatia nauli muda huo huo na kumwambia asubuhi na mapema aende, ghafla akasema ameahirisha hadi sasa yupo)

10. Nimeacha kuchangia naye kitu chochote ndani ya nyumba isipokuwa sehemu ya kulala tu(kitandani na penyewe mzungu wa nne au nalala sebuleni wakati mwingine).

Sasa leo ni siku ya 6 tangia nimeanza kuishi hivyo na mke, mke wangu amenyongonyea ghafla, amekonda, amekuwa mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote.

Katika kipindi hiki chote alijua sababu ya mimi kuishi hivyo ni yeye kuchepuka, hii ni baada ya jana jioni kuniita Chumbani na kusema anajutia sana kufanya vile na hatarudia, jambo baya zaidi akasema ameshafikiria mara mbili kunywa Sumu, anaona hana thamani tena kwangu, Dah [emoji24][emoji24] nilimwonea huruma sana na nikaamua kumsamehe tuendelee na maisha lakini naona hali haijabadilika kwake yaani ni mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote, kiufupi anapitia wakati mgumu sana.

Wito kwa wanaume na wanawake hasa wanaoishi pamoja kama mke na mume kwa namna yoyote ile, kupigana siyo adhabu tosha ya kusuruhisha migogoro, mimi huyu mwanamke nimempa adhabu hiyo lakini naona imemnyoosha kweli kweli japo naona kabisa imemuharibu kisaikolojia kabisa.
Mixx by Yas
 
Mnaendeleaje kwa sasa?
Adhabu uliyompa ni kubwa mno .
 
Shida ni kwamba ukitaka kula papuchi unawaza , hii papuchi Dula nae kala ukipewa style ya Lisu mwenyekiti unawaza Dula alipewa hii hii unapata mawazo kidudu kinanywea kwisha habari yako
 
Back
Top Bottom