Mke wangu anataka kula tunda kila siku kutwa mara 2!

Mke wangu anataka kula tunda kila siku kutwa mara 2!

Pape hakuna tatizo kama ana hamu ya tundi mwache tu kwa raha zake kwani ugonjwa huo mpaka upate hofu?
 
Mimi nahisi haya yafuatayo;

1. Huenda unacheza huko nje, hivyo unapofika nyumbani unakuwa umechoka, au unakuwa na maandalizi ya kwenda kucheza vizuri huko nje. Sasa kama ni kweli, punguza mara moja, vinginevyo itakukost.

2. Huenda unacheza game hiyo bila mpinzani, wala mshabiki. hii inakumalizia nguvu sana na hivyo unapaswa kupunguza. Jaribu kwenda bafuni na mwenzio kila unapokwenda kuoga, au jaribu kuallocate muda wa kustay bafuni kwa kupunguza, just 6minutes time is enough.

3. Pata vyakula vinavyohitajika kwa kukupatia uwezo wa kucheza game hiyo.

4. Iwapo imeshindikana kabisa, omba usaidizi kwa kutoa access za nyumbani kwako. Atanyooka!
 
Mkuu, kitu inauma sasa! sometime nikiwaza hiyo kazi kitu kinalala doro!😕😕

TUMA PICHA YA WIFE.. NA NAMBA YAKE YASIM ...TUMTAFUTE KWA WAKATI WETU NADHANI HAYO MATATIZO YATA KWISHA KABISAAAAA....POLE SANA KAKA UTAPONA KIUNO🙄🙄
 
Mpe majukumu ya kulea (mtafutie watoto), atakua bize hadi akusahau kabisa.
 
Dah! ningempata waifu kama wako ningefurahia sana, mwenzio mpaka nianzishe vangi la nguvu home ndio nipewe chakula cha usiku na ukipewa kina kuwa hakina manjonjo, na kushangaa unapolalamika kiuno kinauma ina onekana wewe hiyo shughuli hauimudu vizuri.

Mkuu we ukitoka nje ya ndoa kwa style hii utakuwa huna matatizo maana wanaume wengi wanatoka nje ya ndoa kutokana na kunyiwa chakula cha usiku!
 
Mpe majukumu ya kulea (mtafutie watoto), atakua bize hadi akusahau kabisa.

kaka huyu jamaa ni mvivu ...sasa hao watoto atawapataje...kiuno kitaendelea kugonjoka... muache mgonjwa apumzike mbona unampa majukumu wakati kishasema ...anahisi mashine inataka kuvunjika kuana huruma bwana....hapa wazo moja tu atumenamba vijana tuingie vitani......mgonjwa ugua pole kesho nitakuletea uji wa ulezi polee..eeeee.
 
Jamani game moja ni dkk 45 ohooooo, hapo mbona tunatoana roho bure?
 
dozi ndogo sana hiyo kama analipa,ungekua unamkaanga tatu bila kila siku.
 
Mdisscuss tu taratibu nadhani mtakubaliana njia sahihi ya kula tunda ambapo kila mtu atakuwa confortable.
 
lazima itakuwa inachosha hiyo. sometimes hata kuimiss inakuwa haipo, yani inakinai, sijui hata nisemeje, yani kama ratiba vile lol
 
lazima itakuwa inachosha hiyo. sometimes hata kuimiss inakuwa haipo, yani inakinai, sijui hata nisemeje, yani kama ratiba vile lol
Ndo hapo mkuu!
 
lazima itakuwa inachosha hiyo. Sometimes hata kuimiss inakuwa haipo, yani inakinai, sijui hata nisemeje, yani kama ratiba vile lol
chakula kinakuwa kitamu wakati una njaa.
 
Back
Top Bottom