Unataka kila siku kwa sababu ni ya bure au? Ungekuwa unalipia ungefanya mlo?
Ziltan huu kwa kweli mtihani kaka.... Pole saana. Hii ni mbaya saana inapokua mmoja ni mpenzi saana wa tendo la 6/6 hali mwingine sio. Nimewasoma walochangia hapa na nimependa ushauri wa Nyumba Kubwa.. Yawezekana ni kweli haupo busy saana, na naamini kabisa huyo wifi yetu lazima ana shughuli ambazo zamchosha. Otherwise observe her routine na ujaribu walau punguza baadhi ya shughuli zake kwa kumsaidia, ili kupunguza mzigon na possibility ya uchovu zaidi - na kama kweli ukiwa nae wamtendea haki (kufika sarari) katika hilo tendo, labda kwaweza kua na hope.
Hata hivo nimefurahi kusikia tatizo lako ni kutaka kila saa tena toka kwake... Any wife/hubby (appreciative) lazima afurahi. Maana ingekua huna hamu nae..... Ingekua tatizo zaidi. Best of Luck Ziltan in solving your Issue...
Nunua prize au vibanio vya nguo vya kuanikia, siku hataki unaibana na prize au kibanio cha nguo.
Pole ila hii tiba nimegraduate muhimbili school of reality.
hapana it is not the matter of cost benefit analysis though watu wengi are bounded with cost ,ila mi nko hivi naturally
Jaribu kubadilisha style, sio lazima umuingie kila siku, ila usipuuze kupungunguza frequency yako rate ya kuchokana kwa kuzoeana itakuwa kubwa mkashangaa wote mna wasaidizi ilihali ligi mnaiweza kumbe mmekinaiana. Mpe nafasi ya kukumiss mchezoni, 24hrs haitoshi. I am curious to know kazi yako ni nini kiasi cha kuuruhusu mwili wako kuweza kudai tendo kila siku!?!
ziltan Pole ila hongera kwa uaminifu wako wengine wanatapanya ovyo mbegu zao heri ww shamba lako ni moja,huwa inatokea wakati mwingine ikiwa mwenzio ana stress na uchovu wa shughuli za kila siku inakuwa ngumu maana naona ww tangu umalize chuo iko kama hujaanza kazi bado sasa na yeye anawaza mambo mengi pengine yy ndio bread finder na kwa sasa amechukua jukumu lako (in nature)mwanaume ndiye bread finder na mke ni mlaji ila kulingana na maisha imekuwa vise-vesa .zile feelings ambazo angepaswa kuwa nazo na kukusubiria ww utoke job akupokee kwa masham-sham zimehama ..Jipeni nafasi hata kwenda nje ya mji au fukwe (beach) mbadilishe mazingira kidogo pengine itakusaidia ..sikushauri uanzishe vibanda vitakucost