Mke wangu azidiwa,

Huyo ana lake jambo!! inawezekana wakati unasoma kuna mchizi alikuwa anachakachua so be carefull fanya mambo ya research m2 wangu.

dah! Kama ni hivyo inauma
 
mkuu we endeleza libeneke, fuata moyo ukipendacho huyo mkeo anatakiwa ajue kuwa hiyo maneno unastahili kuipata pale unapoihitaji. asipokupatia wewe uende kuipata wapi. endelea kukamua akishindwa rigwaride akwambie ili uhamishie kambi kwa wanaoweza

sawa mkuu,
 
utakufa wewe, kama dini inaruhusu nakushauri oa mwingine pengine ndo mkeo atajua umuhimu wa hiyo maneno

anajua lakini ndio hivyo anazidiwa yaani
 
Mhh! Labda UNASAIDIWA.... Jaribu kufatilia kwa karibu...
 

nashindwa kuvumilia
 
Hiyo frequency sidhani kuna mwanamke anaiweza. Kumbuka ana mtoto mdogo (japo hujasema ni wa umri gani) hivyo muda mwingine anahitaji kuwa karibu na mwanae kama ilivyo kwa wanawake wengi wenye watoto wadogo. Mpe uhuru kidogo na wakati huo huo jaribu kuwa busy.
 
usipopata usingizi ndio vizuri,ujisomee zaidi
 
oa mke wa pili, akishindwa oa watatu, alafu panga zamu.
 
hapo kwenye red pamenikumbusha jambo cku nilipo kutana na bnti wa kipare Sara.....mmh mmh we acha 2 hii ki2 bhana....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…