Don Buyoya
Member
- Jun 13, 2024
- 78
- 261
Kwa hio ni sawa?Sawa mkuu wa kaya
Mhh... kwenye harakati za mwanzo alianza kuniita broAngekuita Bro ungefanyaje?
Kwa sasa alioniita ni "mkuu" na "kiongozi"Hapo unapigwa mkuu. Hana hisia na wewe tena hivyo kukuita majina ya kimahaba anaona ni kama kuudanganya moyo wake
Jiandae kwa majina mengine kama:
- Kiongozi
- Boss
- Bro
- Mshkaji
- Chief
- n.k
Ni binti au ni mkeo?Wanabodi hii hivi iko sawa.
Ghafla huyu binti ananiita majina ambayo sio kawaida kuyasikia kwa wanawake mara ananitext "Hey mkuu, gas imeisha" mara "Mkuu unarudi saa ngapi".
Je hio ni sawa au ni red flag?
Mwanzo nilichukulia poa alipokuwa anasema "mkuu"Sasa hapo shida Nini? Niamini mm shida unayo ww kuzingatia vitu vya kawaida saana.
HahaMvuto umepoteza, anakuona tu km beberu Sasaππ
Title inamislead, ni mchumbaNi binti au ni mkeo?
Ndio, tumuite mchumba, si unajua lugha haina mwenyewe hiiHuyo uliyemuita mke wako kwenye heading. Ndio huyu Binti unayemzungumzia?π€
Atakuwa memba wa JF huyoWanabodi hii hivi iko sawa.
Ghafla huyu binti ananiita majina ambayo sio kawaida kuyasikia kwa wanawake mara ananitext "Hey mkuu, gas imeisha" mara "Mkuu unarudi saa ngapi".
Je hio ni sawa au ni red flag?