Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Bora kakuita Mkuu hajakuita Mkuukuu 😂😂Wanabodi hii hivi iko sawa.
Ghafla huyu binti ananiita majina ambayo sio kawaida kuyasikia kwa wanawake mara ananitext "Hey mkuu, gas imeisha" mara "Mkuu unarudi saa ngapi".
Je hio ni sawa au ni red flag?