Duh pole sana mumy, huyo mtoto kaathiriwa na ndugu zake hasa mama yake mzazi kwakuanza kumjaza maneno mabaya na kufanya kukuchukia toka akiwa mdogo dah nihatar sana. Anapaswa akae na mwanasaikolojia kulingana na umri wake anaweza akashauriw na akawa vzrMtoto wa mume wangu aliyezaa nje kabla ya kunioa na nikamfuata kwa bibi yake tukaishi naye na alikuwa sababu ya kuvunja ndoa na hata baada ya baba yake kufariki bado anasumbua
Next week naenda kwenye kesi.
It's better kujihami mapema. Kila mtoto akae na mama yake.
Waoane wote wenye watoto ili kuepusha sintofahamuMtasema yote lakin mtoto pia ana haki ya kuishi Na baba yake,hamuwezi inabidi mtafute wanaume ambao hawana mtoto kabisa,lakin unaenda kuwa Na mtu unajua ana watoto!! mtoto anabana nini acheni uchoyo leeni watoto
Hapana nikimkuta naoHata akiwa anazalisha huko kila kukicha analeta nyumbani wewe kazi yako nikulea tu! Au unamaanisha nini?
Nani kakwambia kila anayekua na watoto nje ya mwanamke aliye naye currently ni kwa sababu ya kuzaa ovyo?Makasiriko ya nini how can you force someone to love ur kids nyie nyie wanaume huwa hamtaki watoto wake wengine mnataka waende kwa Bibi au baba zao, tujifunze responsible kwa action zetu wewe uzae then muachane kwa tabia zenu halafu mu force mtoto kupendwa
Ana roho mbaya tu mamake alifariki hata kabla sijachukua.Duh pole sana mumy, huyo mtoto kaathiriwa na ndugu zake hasa mama yake mzazi kwakuanza kumjaza maneno mabaya na kufanya kukuchukia toka akiwa mdogo dah nihatar sana. Anapaswa akae na mwanasaikolojia kulingana na umri wake anaweza akashauriw na akawa vzr
Basi anapaswa apelekwe polis akakae hata mwezi atakuwa kajifunzaAna roho mbaya tu mamake alifariki hata kabla sijachukua.
Ana roho mbaya tu mamake alifariki hata kabla sijachukua.
Watu mliozaa kwanini huwa mnapenda ku force watoto wenu wapendwe na wengine kilazima hasa ukichukulia mitoto yenyewe huwa mikorofi imeathiriwa na ugomvi wenu wa mahusiano yali yovunjika na ni watoto wasio pendeka hata ufanyeje wataona huyu sio mama yetu.
Kuku tu mwenyewe huwa anakimbiza vifaranga visivo mhusu sembuse binadamu, na kama kweli ulikuwa na upendo why haukupatana na uliyezaa naye mkamlea mwanenu yeye aligoma then una force mtoto apendwe na mpenzi wako mpya.
Mpenzi wako kaja kwako ku enjoy mahusiano na sio kuhangaika na mtoto asiye mhusu
Toto korofi sawa hapo sitii neno ila kama una machuki yako kama ya mama ya kambo huo ni ujinga mkubwa kumchukia mtoto ambae aliletwa duniani bila idhini yake.Kwani alipenda kuzaliwa then wazazi wake waachane.Watu mliozaa kwanini huwa mnapenda ku force watoto wenu wapendwe na wengine kilazima hasa ukichukulia mitoto yenyewe huwa mikorofi imeathiriwa na ugomvi wenu wa mahusiano yali yovunjika na ni watoto wasio pendeka hata ufanyeje wataona huyu sio mama yetu.
Kuku tu mwenyewe huwa anakimbiza vifaranga visivo mhusu sembuse binadamu, na kama kweli ulikuwa na upendo why haukupatana na uliyezaa naye mkamlea mwanenu yeye aligoma then una force mtoto apendwe na mpenzi wako mpya.
Mpenzi wako kaja kwako ku enjoy mahusiano na sio kuhangaika na mtoto asiye mhusu
Hapa wanawake wengi pamewashinda.Mshukuru Mungu umegundua kwa sababu angeweza kukudanganya kwa kujifanya anampenda kumbe siyo.sasa ikifikaga hapa huwaga hakuna jawabu zaidi ya kumhamisha mwanao hapo nyumbani,yaani alelewe na ndugu yako wa karibu labda dada ako hivi.sababu ukichelewa atapewa sumu afeHivi mwanamke kumkataa/kumchukia mtoto wako uliyezaa kabla ya kumuoa. Kuna mapenzi hapo? Yaani hampendi Mwanao je wewe atakuwa anakupenda kweli?
Bora kutokuishi na mtuBora ulee mwenyew naukute uliye nae amewakubali watoto. Sasa uwe namwanaume asiyekubal kuish nawanao utafanyaje?
Itakulazimu kuwarudisha kwa baba yao nawatalelew na mwanamke mwngn
Na nyie mmezidi kutubebea mimba bila ya sisi kutaka mtoto.Unalikuta li msichana kisa limekuona una gari na ka nyumba basi linaamua livae mabomu kwa kukubebea li mimba lisilo pangwa.Hapo limesahau kuwa umeliomba uchi na sio Mimba.Sio kujitambua ni heri kuanza kulea mtoto mchanga inakuwa ni rahisi kuliko huyo mkubwa ambaye ameathirika kisaikolojia haleleki tena maugomvi ya wazazi yamemharibu akili na watoto wa sikuhizi jinsi walivo sio rahisi kiukweli na sikuhizi watu kuzaa zaa hovyo ni fashion, mkaka kazaa na wanawake wa nne tofauti anakuja kuoa mtu hana mtoto amsaidie kulea watoto wa baba asiye na self control same applies na kwa single mom hyo ni kutesa watoto na kuja kulaumu wengine kuwa hapendi watoto wako.
Turudi kwenye maadili zamani ilikuwaga marufuku kuzaa bila ndoa na watoto walilelewa na wazazi hakukuwa na shida, ila sikuhizi umalaya na kuzaa hovyo ni sifa why uhurumiwe kwa kuleta mtoto bila kujipanga!?
Tuache kutesa watoto kwA umalaya wetu
Ndoo maana na sisi hatuwapendi ma single maza kwa sababu wao wana roho ngumu sana kwa watoto wetu wa njeKinachopondwa na kuchukiwa Ni tabia za wanawake husika.
Sio mtoto,
Sijawai sikia au kuona mwanaume anamchukia mtoto wa single mother Hata sikU moja.
Wengi wanaoishi na single mother, wanalea effectively watoto wao.
Wapambane tu na hali zao,upendo haulazimishwi.Wao imewauma sana naye ampeleke kwa Bibi yake
Wao wanataka waharibu mambo Wao halafu wambebeshe lawama mwingine.Nitajiskia kawaida kabisa moyoni, mtoto wangu why maneno ya wengine yaniumize I'm responsible with my actions na nina accept choices zangu maishani with my full chest, and I can do anything to Ensure mental health ya mwanangu haipati mushkeli wote na ikiwa lazima sitaki ku affect afya ya mwanangu na mahusiano yangu kabisa kabisa, and I can't blame anyone
Hata mimi nimemuuliza hajanijibu!!Mama wa mtoto yu wapi?
Umenivutia kwa mara ya piliMtasema yote lakin mtoto pia ana haki ya kuishi Na baba yake,hamuwezi inabidi mtafute wanaume ambao hawana mtoto kabisa,lakin unaenda kuwa Na mtu unajua ana watoto!! mtoto anabana nini acheni uchoyo leeni watoto
Inawezekana unasema hivi kwa sababu umelea/unalea watoto wa ndugu zako mfano wa kaka yako,dada zako,wa Shangazi,wa mjomba au hata wadogo zako..Wengine tunawapenda tu hatuna shida nao kabisa
Mi napenda watoto wewe wangu wasiwe wangu nalea tu
Nyie mngekuwa na roho nzuri na upendo kwa huyo mtoto basi msingeachana ili mumlee ipasavyo. Sasa kama nyie kawashinda kulea kwa upendo, ni vipi unataka mwingine amlee kwa upendo?Ni wewe TU na roho mbaya yako,
wangapi tumelelewa vizur Tena kwa upendo na mama wa kambo?
Mnachukulia suala la kulea kirahisi rahisi sana nyie watu!! Mama ndio mlezi kwa kiasi kikubwa, yeye ndio anatumia muda mwingi na mtoto kuliko baba. Hivyo madhaifu yake ni rahisi kuwa noticed zaidi. Kulea mtoto asie wako inahitajika upate support kubwa sana kutoka kwa wazazi halisi wa huyo mtoto. Hivyo kama wanakuletea mauza uza basi ni ngumu mnoooo.Sisi mbona wakwenu huwa tunawalea kiroho Safi TU?
Wanawake Ni viumbe wabinafsi Sana.