Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa majibu hayo ni huyo jini mahaba ndiyo anayefanya kazi badala yako, nilidhani anatatizo kama nililopata mimi ila kwa sasa nimeshapona, ili kuwa nikofanya napata maumivu ya mguu na unauma kwa week mbili hadi tatu ndiyo ninapata nafuu, ila sasa nimeshapona.
Natumaini nyote wazima.
Naomba kusaidiwa jambo hili huwaje. Ninaishi na mke miaka miwili sasa, lakini nakosa furaha kabisa kwani tendo la ndoa linafanyika angalau mara 1 kwa wiki 2/3, tena kwa "ngumi". Mwenzangu anasema hajisikii.
Jambo hili ni kawaida?
pole sana mkuu,yani unataka kuniambia toka mmefunga ndoa mpaka sasa hali ndio iko hivyo au ilianza kutokea baadae kidogo?na wewe ulivyolichinguza hili suala kabla ya kulileta hapa umegundua kitu gani cha kuanzia!
spiritual husband (mume wa kiroho<?>), ndo ikoje hiyo?
Till when
spiritual husband (mume wa kiroho<?>), ndo ikoje hiyo?
Atakuwa mchaga lazima.. If true ntakwambia SIRI if not sina Cha kuchangia . AsanteNatumaini nyote wazima.
Naomba kusaidiwa jambo hili huwaje. Ninaishi na mke miaka miwili sasa, lakini nakosa furaha kabisa kwani tendo la ndoa linafanyika angalau mara 1 kwa wiki 2/3, tena kwa "ngumi". Mwenzangu anasema hajisikii.
Jambo hili ni kawaida?