Miezi 6 ni mapema sana.Toka nimeoa nina miezi sita
Huwa tunahesabu siku ya 11 hadi 14 lakini hatujabahatika
Nini inaweza kuwa sababu ya hili
Tiba yake ikojen
Msaada wa mawazo kwenu wataalam
Sent using Jamii Forums mobile app
Muulize Mara ya mwisho kuchoma sindano ya uzazi ilikuwa ni lini ili ajue muda bado wa sindano kuisha mwilini.Atapata tuToka nimeoa nina miezi sita. Huwa tunahesabu siku ya 11 hadi 14 lakini hatujabahatika. Nini inaweza kuwa sababu ya hili? Tiba yake ikoje?
Msaada wa mawazo kwenu wataalamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu Neema,apunguze stress maana nazo huchangia uzazi kuwa mgumu3 yrs now na hakika furaha tuliyoanza nayo taratibu inatoweka. Wife kila wakati anajifeel guilty....ni machozi,machozi machozi.....eeeh Mungu nipeeeeeee
Toka nimeoa nina miezi sita. Huwa tunahesabu siku ya 11 hadi 14 lakini hatujabahatika. Nini inaweza kuwa sababu ya hili? Tiba yake ikoje?
Msaada wa mawazo kwenu wataalamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani like this January tumekuwa pamoja lakini Jana kanambia tofauti yaani....Mungu Neema,apunguze stress maana nazo huchangia uzazi kuwa mgumu
Ogopa sana mwanamke aliyetumoa njia za uzazi wa mpango ama p2,
Wanted to make fun out of it ila pole. Miezi 9 iliopita wife na mchepuko walinipa taarifa za ujauzito ndani ya siku Moja, nilishanganikiwa kwa muda ila now na enjoy kucheza na watoto wa siku 17 na 18 respectively.Toka nimeoa nina miezi sita. Huwa tunahesabu siku ya 11 hadi 14 lakini hatujabahatika. Nini inaweza kuwa sababu ya hili? Tiba yake ikoje?
Msaada wa mawazo kwenu wataalamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyezi Mungu awakumbuke aiseeJamani like this January tumekuwa pamoja lakini Jana kanambia tofauti yaani....
Me nina watoto wawili kwa wanawake wengineMke wako hashiki mimba au ww huwezi kumpa mimba?