ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Toka nimeoa nina miezi sita. Huwa tunahesabu siku ya 11 hadi 14 lakini hatujabahatika. Nini inaweza kuwa sababu ya hili? Tiba yake ikoje?
Msaada wa mawazo kwenu wataalamu.
===
Pia soma: Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada wa mawazo kwenu wataalamu.
===
Pia soma: Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)
Sent using Jamii Forums mobile app