Mke wangu kaiba vitu vyote ndani kaondoka na mtoto na sijui alipo

sasa anakuja omba ushauri wa nn kama anajua huyo uliekua nae hakua mtu, wewe kama ulizaliwa na mnyama(mamako) then ukawa mtu, endelea tamka utumbo.

mtu ni mnyama mwenye akili na kauli ila kiumbe aliyetokana na mtu ni mnyama pia ila dhaifu na mwenye kauli,waliobaki ni wanyama wanaojua ukweli ila hawana kauli
 
Haya nijibu sasa!

Kuoa ni muunganiko wa kisheria au kidini au...,kati ya watu wawili walioamua kuishi pamoja na kuanzisha familia(not formal definition ila somehow...)...
 

elimu maanake nini?kujifunza ukaelewa chochote ni nini?nipe tofauti ya elimu,ujuzi na maarifa?
 
Last edited by a moderator:
Kuoa ni muunganiko wa kisheria au kidini au...,kati ya watu wawili walioamua kuishi pamoja na kuanzisha familia(not formal definition ila somehow...)...

Kwa sheria zipi?
 
Machameee du kama napaona vile njia panda.lambo.mfoni.nshara. makoa. kalali. kncu. machame Hosp kyalia.kati ya hizo kwao ni wapi tuanze kufanya udukuzi fasta. poleeeee

Wala usisumbue kichwa chako hawa walikutana kimjini mjini wameachana kimjini mjini kama kawaida, acha kusumbua watu wewe
 
Yaani hata kuandika sentensi moja inayoeleweka unashindwa

Utaweza kuuona uwongo na kuujua wewe?

kwanini utumie neno 'wewe' huku unafahamu umeniqoute?
JE unataka feedback au style ya feedback?
 
Wacha jeuri kijana. .. km si hiko unachokiita kiumbe dhaifu ww ungetokea mlango gan kuliona jua?

mlango wa kiumbe cha babayangu.
Unajua maana ya jeuri? Mrs Kharusy
 
Last edited by a moderator:
Unajua serikali inasema ni hadi nini kifanyike?

Sasa mkuu naomba useme tu unachotaka kusema tutajibiana humo humo kwenye majibu yako...niambie wewe ndoa unaielewaje alafu kwanini unapingana na mimi?

Aya maswala ya kuanza kuniuliza maswali kama mtoto yananikosesha amani au unaniona dogo kweli?!lol
 
 
Last edited by a moderator:


Wewe Ni Muongo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…