Mke wangu kaiba vitu vyote ndani kaondoka na mtoto na sijui alipo

Mke wangu kaiba vitu vyote ndani kaondoka na mtoto na sijui alipo

sasa anakuja omba ushauri wa nn kama anajua huyo uliekua nae hakua mtu, wewe kama ulizaliwa na mnyama(mamako) then ukawa mtu, endelea tamka utumbo.

mtu ni mnyama mwenye akili na kauli ila kiumbe aliyetokana na mtu ni mnyama pia ila dhaifu na mwenye kauli,waliobaki ni wanyama wanaojua ukweli ila hawana kauli
 
Haya nijibu sasa!

Kuoa ni muunganiko wa kisheria au kidini au...,kati ya watu wawili walioamua kuishi pamoja na kuanzisha familia(not formal definition ila somehow...)...
 
Inaonekana una tatizo kubwa zaidi ya nililolisema hapo juu

Nani ametaja elimu?
Inaonekana wewe hujiamini kabisa hasa kwenye eneo la elimu ndio maana unajistukia sana

Mimi nimekuuliza umeishia darasa la ngapi,sijakuuliza elimu yako
Darasa linaweza kuwa hata la kujifunza kuiba wake za watu
Wewe sijui umefikiriaje mimi nazungumzia hicho ulichomaanisha

Una hatari sana wewe

CC Heaven on Earth .....!!!!!

elimu maanake nini?kujifunza ukaelewa chochote ni nini?nipe tofauti ya elimu,ujuzi na maarifa?
 
Last edited by a moderator:
Kuoa ni muunganiko wa kisheria au kidini au...,kati ya watu wawili walioamua kuishi pamoja na kuanzisha familia(not formal definition ila somehow...)...

Kwa sheria zipi?
 
Machameee du kama napaona vile njia panda.lambo.mfoni.nshara. makoa. kalali. kncu. machame Hosp kyalia.kati ya hizo kwao ni wapi tuanze kufanya udukuzi fasta. poleeeee

Wala usisumbue kichwa chako hawa walikutana kimjini mjini wameachana kimjini mjini kama kawaida, acha kusumbua watu wewe
 
Yaani hata kuandika sentensi moja inayoeleweka unashindwa

Utaweza kuuona uwongo na kuujua wewe?

kwanini utumie neno 'wewe' huku unafahamu umeniqoute?
JE unataka feedback au style ya feedback?
 
Wacha jeuri kijana. .. km si hiko unachokiita kiumbe dhaifu ww ungetokea mlango gan kuliona jua?

mlango wa kiumbe cha babayangu.
Unajua maana ya jeuri? Mrs Kharusy
 
Last edited by a moderator:
Unajua serikali inasema ni hadi nini kifanyike?

Sasa mkuu naomba useme tu unachotaka kusema tutajibiana humo humo kwenye majibu yako...niambie wewe ndoa unaielewaje alafu kwanini unapingana na mimi?

Aya maswala ya kuanza kuniuliza maswali kama mtoto yananikosesha amani au unaniona dogo kweli?!lol
 
Una ushahidi wa hili?

Kwanini wawe wanawake wa JF na sio mahali pengine?
Ni kwanini umefikiria hili ni suala la wana wake na sio la kibinadamu?

Una matatizo wewe

KUtokuwepo mahali ambapo Mungu amesema kuwa mwanamke ni mtu haina maana kuwa mwanamke sio mtu
Usichanganye hayo mambo mawili

Lakini hiyo haimaanishi kuwa hakuna mahali ambapo Mungu amesema mwanamke ni mtu

Mwanzo 1:27 inasema
27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.

Hapo Mungu anasema kuwa wote aliwaumba kwa mfano wake,kama mwanamke aliumbwa kwa mfano wa Mungu na mwanaume nae hivyo hivyo watakuwaje na tofauti za hovyo unazotaka kuzileta?

Pia tazama mstari huu
Mwanzo 2:18
18 Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana

Mungu anasema hapo kuwa anamfanyizia Adam msaidizi wa kufanana nae
Unajua maana ya kufanana wewe?

Anaetafuta sifa ni nani sasa?

KUFANANA NA SIO KUWA wewe ndo ukae kimya cc Eiyer
 
Last edited by a moderator:
Miaka mnne nyuma nilizaa na mdada wa kimachame kiukweli nilimpenda sana baada ya kumaliza masomo niliamua kukaa naye cha kushangaza akaanza kutembea na jamaa zake yaani wachagga wenzake. Nikamkarisha kikao na ndugu wakamwonya kwa tabia zake tukaendelea kuhishi kwa taadhali kubwa.

Baadaye nikapata kazi mkoa mwingine nikamfungulia kijiwe cha biashara maana muda wote aliikuwa akikaa ndani, cha kusikitisha siku niko job kasomba vitu vyote na mwanangu. Baada ya kuwapigia ndugu zake hawakuchukua hatua zozote wakidai hawajui alipo nikasikia yupo kwa mamamdogo wake Dar, kumpigia simu akasema hanitambui hivyo nisimsumbue. Nahitaji mwanangu nishauri nifanyeje kumpata maana ni damu yangu na nampenda sana.


Wewe Ni Muongo!
 
Back
Top Bottom