Mke wangu kakuta condom ndani

Mke wangu kakuta condom ndani

Mondela

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2021
Posts
2,567
Reaction score
3,777
Kama ilivyo jieleza hapo juu mimi ni mtumishi wa afya katika zahanati fulani, mwezi uliopita mkewangu alienda kwao kutokana na matatizo fulani na mimi nilikuwa ndio naanza likizo.

Kunasiku jamaa mmoja aliniomba tu nimchukulie Condom atazipitia maana ilikuwa ni mda wa kufunga zahanati, baada ya hapo jamaa hakupita na mimi nikwa nimejisahau kama kuna Condom.

Likizo ilianza nikaondoka huku mke wangu akijiandaa kurudi, si akarudi hiyo leo ile anaingia ndani sianakutana na Condom bhana, dah akanipigia sim nimeshindwa hata nimjibu nini hapa maana hato niamini hata nikimwambia ukweli [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kama ilivyo jieleza hapo juu mimi ni mtumishi wa afya katika zahanati fulani, mwezi uliopita mkewangu alienda kwao kutokana na matatizo fulani na mimi nilikuwa ndio naanza likizo.

Kunasiku jamaa mmoja aliniomba tu nimchukulie Condom atazipitia maana ilikuwa ni mda wa kufunga zahanati, baada ya hapo jamaa hakupita na mimi nikwa nimejisahau kama kuna Condom.

Likizo ilianza nikaondoka huku mke wangu akijiandaa kurudi, si akarudi hiyo leo ile anaingia ndani sianakutana na Condom bhana, dah akanipigia sim nimeshindwa hata nimjibu nini hapa maana hato niamini hata nikimwambia ukweli [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hii stry mbona kama nimeiona Fesibuku🧐
 
mwambie aache kihere-here umeziacha coz kuna jaama atazipitia hapo, au anataka jamii ife kwa maradhi.
sokap hapa.
 
20211130_083011.jpg
 
Daah kweli kuna mambo mengine ni ngumu saaaana kujitetea aisee, pole sana mkuu sjui utachomokaje hapo labda malaika wa utulivu aingilie kati tu
 
Kama Jambo dogo hivi huelewi cha kufanya huko hospital kweli unatibu vipi wagonjwa....
 
Hayo madude mnavyoyarukaga maili 100 aisee.

Na ukute ndo yanawafanya muwepo hai mpaka leo kenge nyie.
 
kama zipo zote 3 shida iko wapi?

si unamwambia tu nilileta kwa ajili yetu au..
 
Back
Top Bottom