Mke wangu kaniambia nina kibamia pia uume wangu hausimami vizuri naomba msaada

Mke wangu kaniambia nina kibamia pia uume wangu hausimami vizuri naomba msaada

Tumia Mundende, vumbi ya kongo, al kasusu nk...acha nyeto na uanze mazoez mepesi unaokoa ndoa yako mapema tu...
Vumbi la kongo, mundende sio suluhisho la kudumu! Ni papo kwa papo na athari yake ni kutosimamisha happy baadae!
 
Tafuta mizizi ya mlonge mibichi chemsha kama vikombe viwili au tatu!!!kunywa kama chai asubuhi na jioni siku zote hadi tatzo likiisha!!!!UHAKIKA MKUU!!!KAMA HUJAELEWA NI PM!!!
Hi ni uhakika, pamoja na magome yake! Lakini pia afanye mazoezi ili moyo uwe na nguvu ya kusukuma damu kwa nguvu kwenda sehemu zote za mwili hasa kwenye uume.
 
Uume unasinyaa katikati ya game

Na wakati mwingine hasimami ndindindi

4 huwa sijisikii hamu hata week
#1. Anzia hapa: https://www.jamiiforums.com/threads...-na-kunywa-juice-ya-mchanganyiko-huu.1688712/

#2. Epuka baadhi ya vyakula na pendelea vyakula vinavyoshauriwa: Zaidi soma hapa: https://www.jamiiforums.com/threads/matibabu-ya-nguvu-za-kiume-kwa-waathirika-wa-punyeto.1164298/

#3. Jifunze kwa wengine hatua walizo pitia. Zaidi soma hapa: https://www.jamiiforums.com/threads...-za-kiume-kabla-hata-ya-miezi-mitatu.1522948/
Na hapa: https://www.jamiiforums.com/threads/naombeni-ushauri-nimeadhirika-na-punyeto.1115896/

#4.
 
vijana too much suicide/self/nyeto ni hatari kwa afya...bora utafute hata mabeki 3 uruke nayo tu..kuliko kuja kuadhirika ukija kuowa kama mwana hapa..hela anayo lakini yupo kwenye ndoa akiwa hana furaha...

CHAPUTA ifutiwe usajili inapelekea vijana kuadhirika kwenye really relationships.....
mbona watu humu tuna 20 yrs experience of nyeto na bado mashine ipo firm na demu akijileta anapigwa ile mbaya.
 
mzungu wapink
michango michongo ya tumbo ( ngiri) hazikusumbui? tuanzie apo kwanza, wa baba wengi tuu wana tatizo kama lako, usiingiwe na woga sanaaa, kaa na mke wako uone namna nyingine nzuri ya kumlidhisha mfano unaweza kumwandaa kwa muda mrefu, au kuwa na ratiba ya kumgegeda hata kama ni mara 1 kwa wiki n.k
 
Kama watoto ni wako hilo tatizo si kubwa ki hivyo, Cha msingi inakubidi ubadili mtazamo juu yako(self esteem) jikubali kuwa uko vizuri afu pia tendo ufanye kwa kujiridhisha wewe automatic utamridhisha mkeo ila tatizo umeweka kwa akili kwamba unatakiwa umridhishe mkeo ndio maana unafeli, Mwanamke akisha liwa mzigo nje huwezi mridhisha. Over
 
Pole sana kwa huo mtihani aisee. Tatizo lako sio kubwa na linatibika hata kwa miti shamba kadhaa tuu especially hilo la kutoweza kusimamisha,kukosa hamu,kufika kileleni,kuongeza mbegu na kuhusu hilo la maumbile madogo unaweza kukuza ila ni risk sana.

Anza kwa kujitibu akili yako, iaminishe tatizo lako ni dogo na lina tibika kisha tafuta mtaalam mzuri wa miti shamba atakupa dawa ambazo sidhan kama sitaku ghalim sana,matumizi yake hayatochua wiki na matokeo ya dawa utaanza kuyaona nadhan kuanzia siku ya pili baada ya kuanza dawa,watu wa aina yako nimeshuhudia wakipona na wengine walienda mpaka nje ila wakaludi bila kupona ila walipoingia kutafuta wazee walipona

Unaweza kujalibu na wazee wa humu kama akina kabanga,mzizi mkavu na mtu mzito nadhan utapata mwelekeo.

Pia siku nyingine uwe unasema na eneo ulipo itakulahisishia kupata msaada haraka.

Pawaga.
 
Mwanaume yoyote anategemea akili ikae sawa (asiwe na stress) ili kuperform sex vizuri. Ila sikuzote Kama mwanamke ameshaanza kukuongezea stress mfano hamuelewani +unajua anakucheat huwezi ukawa na hamu ya kufanya nae sex.hata ukilazimisha ndo matokeo yake uume hawezi kusimami vizuri na ndo maana hukojoi. Labda mkuu utuambie ulishawahi kupata demu mwingine Hali ikawa iyoiyo? Kama sivyo akili kichwani mwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama watoto ni wako hilo tatizo si kubwa ki hivyo, Cha msingi inakubidi ubadili mtazamo juu yako(self esteem) jikubali kuwa uko vizuri afu pia tendo ufanye kwa kujiridhisha wewe automatic utamridhisha mkeo ila tatizo umeweka kwa akili kwamba unatakiwa umridhishe mkeo ndio maana unafeli, Mwanamke akisha liwa mzigo nje huwezi mridhisha. Over

So unamshauri mwana awe selfish...apige mzigo akimaliza tu..kila mtu apambane na. Hali yake
 
Tatizo lako kubwa linaanzia kichwani!

Mengine muone daktari wa afya ya ngono akupe usaidizi wa kitabibu!

Kuna madawa mengi tu utapona.
 
Back
Top Bottom