Mke wangu kanifanya nianze kupiga punyeto na sasa siwezi tena kuacha

Yaan acha tu, haya maisha unajikuta upo chumbani kwa ex wako mliyeachana miaka 10 iliyopita,kwasababu ya haya mateso ya ndoani.
 
Kikao cha CHAPUTA cha September kitachofanyika pale Tabata Kisukuru napendekeza upate usajili wa Kudumu....

Piga NYETO ili Ujinga ukutoke....

Copy iende kwa Katibu CHAPUTA...

BUT Nyeto kwa sisi tulio nje ya Chaputa tunaona ni Ishara ya Udhaifu,,na pia huwa inaleta msongo wa mawazo,,,na kupunguza hisia kwa jinsia nyingine,,,,BUT Love is no Longer for the Weak,,,,SIJUI MNAOA ILI IWEJE...?.....sasa wewe umeoa na bado unapiga Nyeto....ndio nini hiki....??

Na tukisema Vijana acheni KUOA mnatuona kama wapiga ramli... Haya oaneni mkapige Nyeto....Mazingira yatawafundisha...

Be a Man,,,
 
Nilipatwa na mkasa wankuondolewa kazini kwa vyeti feki, uzuri nilikuwa na kijiakiba change, nikaingia kwenye sekta ya ajira isiyo rasmi. Nikanunua kirikuu na nikawa nalaza hadi elfu themanini kwa siku...
Leta kitu laini na kibichi ukikune mbele yake , solution uliochukua sio solution, ipo siku utajuta nae atakunwa mbele yako
 
 
Sasa ndoa ina maana gani?
 
Ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…