Mke wangu kanifanya nianze kupiga punyeto na sasa siwezi tena kuacha

Mke wangu kanifanya nianze kupiga punyeto na sasa siwezi tena kuacha

Ndoa hizi Kuna mkaka rafiki yangu nae Ana niambia mkewe hampi tendo kwa muda Sasa kwa kuwa jamaa ana pitia changamoto kazini yupo tuu home! Wife Sasa ndiye Ana toa pesa ya kula anasema Ana simangwa! Na Hilo duka analo tambia mtaji kapewa na mume we doh
Hiyo ndio roho halisi ya mwanamke bila make ups, yani balaa zito. Nawaonea huruma sana watu wanaooa wake wakiwa wako njema kipesa maana wengi hasa wanapendewaga hela zile.

Yani zile butters unazotoa kwa gharama zako ndio zina mdrive crazy mwanamke na bora hela ikate before ndoa ila hela ikatikie tayari mshaoana inakuwa heka heka kweli yani. Minuno na kuanza kupangiana ratiba za kumbato, eventually masimango yani dah. You will indeed feel like shit.
 
Hizi nyumba zina mambo mazito sana huwa yanaendelea huko ndan. Hata mm kwangu hakuna tofauti sana na kwa mtoa mada yaani naweza nikapewa mara moja kwa week mbili, sometimes hata mwezi unaweza katika hana kitu umepata. Sema mm nimejitafutia ka mchepuko kangu ka kupunguzia nyege, nikiona tu zimejaa naenda kuzimwaga huko narudi naendelea na kazi. Maana nilishambembeleza huyu mtu hadi nikanyoosha mikono, tumebaki tunalea watoto tu akinipa poa asiponipa po vile vile.

[emoji20] so sad
 
Nilipatwa na mkasa wankuondolewa kazini kwa vyeti feki, uzuri nilikuwa na kijiakiba change, nikaingia kwenye sekta ya ajira isiyo rasmi. Nikanunua kirikuu na nikawa nalaza hadi elfu themanini kwa siku.

Mwezi uliopita gari imepata ajali, nahangaika kuirudisha rodi, ila mke wangu kawa mkali, hamna unyumba, hamna Amani.

Nikaanza kujipururua mbele yake, akasema niendelee tu, maana hana hamu Tena na Mimi na Wala Hani feel Tena.

Basi Kila siku usiku najitwanga kamoja Kisha nalala. Nikishtuka usiku wa manane Nina kengine na alfajiri najipendelea pia.

Kwa kweli simsumbui na ninaona raha sana.

Hii kitu ni tamu sana na imenisahaulisha kabisa ladha ya papuchi ambavyo nilikuwa naipata kwa manyanyaso.

Hela Sina, nitafute mchepuko wa Nini?
Unajipa Utam mwenyewe
 
Nenda kaombe ushauri kwa kiongozi wa dini ya imani yako na kwa daktari wa psychiatrist.

Inahitajika mazungumzo yenu na watu wa imani na daktari huyo.

Sali Mche Mungu,

Soma Neno la Mungu.

No situation is permanent.
 
Mwambie aende kwao tafuta house girl

Akusaidie kazi za ndani
 
Back
Top Bottom