Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewahi piga nyeto?Kikao cha CHAPUTA cha September kitachofanyika pale Tabata Kisukuru napendekeza upate usajili wa Kudumu....
Piga NYETO ili Ujinga ukutoke....
Copy iende kwa Katibu CHAPUTA...
BUT Nyeto kwa sisi tulio nje ya Chaputa tunaona ni Ishara ya Udhaifu,,na pia huwa inaleta msongo wa mawazo,,,na kupunguza hisia kwa jinsia nyingine,,,,BUT Love is no Longer for the Weak,,,,SIJUI MNAOA ILI IWEJE...?.....sasa wewe umeoa na bado unapiga Nyeto....ndio nini hiki....??
Na tukisema Vijana acheni KUOA mnatuona kama wapiga ramli... Haya oaneni mkapige Nyeto....Mazingira yatawafundisha...
Be a Man,,,
Nani kakudanganya? Ukizini je? UmekaririBadae unakuwa shoga. Hapo ni kwamba nguvu zinaisha zote misuri inapasuka na mapepo yanachukua nguvu maana si unavuta hisia, means unazama rohoni ni dhambi kubwa unafanya.
Kama unanyimwa unyumba ni hamna ndoa tena hapo talaka
Kuna mshikaji nimemshauri atafute mchepuko, anadai anaweza kaa wiki mbili papuchi ya mkewe hajaigusa, na ili apewe mpaka aanze kubembeleza kama dem mpya.Katika maisha nimejifunza jambo moja, usiwe na kitu kimoja tu,
Kuwa na wanawake wawili, nyumba mbili, gari mbili na kila unachofanya hakikisha kinafanyika mara mbili hutojuta.
Ukiwa na nyumba mbili mwanamke akikuudhi na mkashindwa kuelewana unahamia nyumba nyingine umamuacha hapo, Ukiwa na wanawake wawili mmoja anapokusumbua mwingine anakupa faraja, Ukiwa na magari mawili moja likisumbua unachukua jingine.
Una akili nyingi sana. Idumu punyetoNilipatwa na mkasa wakuondolewa kazini kwa vyeti feki, uzuri nilikuwa na kijiakiba changu, nikaingia kwenye sekta ya ajira isiyo rasmi. Nikanunua kirikuu na nikawa nalaza hadi elfu themanini kwa siku.
Mwezi uliopita gari imepata ajali, nahangaika kuirudisha rodi, ila mke wangu kawa mkali, hamna unyumba, hamna Amani.
Nikaanza kujipururua mbele yake, akasema niendelee tu, maana hana hamu tena na mimi na wala hani feel tena.
Basi Kila siku usiku najitwanga kamoja Kisha nalala. Nikishtuka usiku wa manane Nina kengine na alfajiri najipendelea pia. Kwa kweli simsumbui na ninaona raha sana.
Hii kitu ni tamu sana na imenisahaulisha kabisa ladha ya papuchi ambavyo nilikuwa naipata kwa manyanyaso.
Hela Sina, nitafute mchepuko wa Nini?
Hawajui tu kulaza 80k ni kibarua kizito sana, hiyo biashara iwe na mzunguko wa kutosha.Unalaza 80K kwa siku na bado umeshindwa kufanya marekebisho ya gari lako!
Ushoga unaingia aje hapa kwa haya maelezo?Badae unakuwa shoga. Hapo ni kwamba nguvu zinaisha zote misuri inapasuka na mapepo yanachukua nguvu maana si unavuta hisia, means unazama rohoni ni dhambi kubwa unafanya.
Kama unanyimwa unyumba ni hamna ndoa tena hapo talaka
Yesu hajihusishi na biashara hii!YESU kama ataendelea kuchelewa kurudi basi atayakuta mapya mengi
Mambo ya mkono mtupu haulambwi.Ndoa hizi Kuna mkaka rafiki yangu nae Ana niambia mkewe hampi tendo kwa muda Sasa kwa kuwa jamaa ana pitia changamoto kazini yupo tuu home! Wife Sasa ndiye Ana toa pesa ya kula anasema Ana simangwa! Na Hilo duka analo tambia mtaji kapewa na mume we doh
Yaani huu ukuda utanigombanisha na mzee walah! Hawajui hawa slat queens wa siku hizi yeye anafosi nioe tu. Sasa lengo la kuoa ni nini? Punyeti nikajua ni mabachela tu na wanafunzi, kumbe hata waliooa?Yaani nipo na mzigo ndani afu nanyetuka hafu asubuhi naacha hela ya matumizi.. maza fanta..