Mke wangu kanikamulia maziwa

Wenzio Iringa wanalazimisha wanyonyeshwe wewe unayakimbia shauri yako utakuja yakumbuka kipindi yashakata.
 
Nyonya tu mkuu ww ndio mtoto wake mkubwa 😁😁
 
Bwana bwana ilishawahi kunitokea hii alafu ile radha mmmh
 

Wewe ni mwanaume au mwanamke?

Sasa mambo yako ya ndani, tena ya mahaba yenye lengo la kunogesha penzi lenu unataka tujadili kweli?
 
Mke wako anaweza kutoa lita ngapi kwa siku tukapige pesa?
 
Huyo baba aliethubutu kukukabidhi binti yake umuoe nani maana kampa mwanae mtu dishi linayumba
 
Wanaonyonya mbususu wanakamuliwa kojo sembuse we maziwa... Kunywa kwa afya yako
 
Mkuu nitarudi..

Nipo nafundisha samaki kuogelea
 
Wewee nae acha uroho Mara ya nne kabisa hakikisha Mara ya tano unakuwa na vitafunio karibu [emoji1787]
 
Ma jiwe team, bana majiingaaa!! ...sijui mfu yule kayaroga? lire zee chawi? km jiwe lenyewe!!! sasa kwanini hukumeza maziwa, wkt Mwanao anameza?? Unamwaga na kuharibu chakula??......ukiona ivo kuna Wenzako huko nje anawamezesha sana tuuu! wanashukuru!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…