Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Strange thing huyu amejiunga JF 2018 na hii ndio thread yake ya kwanza, au ni spare tyre?Bwana mdogo hana adabu kabisa......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Strange thing huyu amejiunga JF 2018 na hii ndio thread yake ya kwanza, au ni spare tyre?Bwana mdogo hana adabu kabisa......
Tena unaweza kuta kati ya hao watoto nne,Mwamba nae ana mbegu yake hapo,na ndiyo maana mawasiliano hayawezi kwisha moja kwa moja!! Wanawake wana siri sana!!Shida ni kwamba itakuwa ilishashituliwa kitambo hadi mtu kachoka, ni ile hali yeye yupo kwenye ndoa miaka 30,lakini kuna mwamba yupo humo humo miaka 10.
Hii inauma, dingi atulie tu wale mafao .
Too late...
Nadhani mods wanatakiwa kuunda za kuthibitisha utimamu wa member humu.......Strange thing huyu amejiunga JF 2018 na hii ndio thread yake ya kwanza, au ni spare tyre?
bro!! kapange chumba,utakufa kwa pressure!!Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimeishi na mke wangu zaidi ya miaka 30, lakini nilihisi ana bwana wa pembeni, nikaanza kufanya uchunguzi, kweli nikafuma baadhi ya msg , ambaxo kwa tabia yake kwangu aliyonionesha kwa miaka hiyo tuliyoishi, niliona si kawaida.
Mbaya zaidi hizo msg alizokuwa anatuma kwa huyo bwana( siwezi kumwita hawara kwa sasa) ilikuwa ni kama yeye anataka mahusiano yaendelee, maana mwanaume alikuwa akimjibu kwa mkato tu.
Mke- kwema, kimya
Mume/ baada ya siku tano/- kwema nipo, sawa
Mke- mmm sawa hiyo vipi,
Mume/ safi
Mke — mvua tu
Baada ya wiki
Mume— mzima wewe
Mke—upo poa wewe
Kwema tu, hofu kwako,
Kimya jamani, naona umetupa jongoo na mti wake,
Jua kali tu ee utadhani limeshuka.
Mume, nipo , hujibu SMS zangu!
Mke— saa ngapi tena wewe ndio hujibu.
Mume—- hahahaa upo!
Mke— nipo kuzeeka tu ndio kumepamba moto.
Mume—- aaa baba ajambo
Mke—- yupo tu aliacha na kazi sasa hivi yupo tu nyumbani.,
Mume—/ poa
Mke tena baada ya wiki
Mke —Upo kaka, za uzima!
Mume— poa.
Baada ya kushindwa kuvumilia na kuepusha kuona maajabu zaidi, nimeamua kulileta hili hapa ili mnisaidie, mke wangu bado nampenda, lakini nataka nijue nini kinaendelea,
Swali je nimuulize au nivumilie kidogo.
Watoto tunao wanne na wana maisha yao.
Sijawahi kumuamini mwanamke, bali namuheshimu pekee.Ndio maana imeniumiza sana, maisha yalikuwa mazuri sana,
Kwangu mimi nijiamini nilikuwa mwaminifu sana kwake ,
Na kazi yangu bahati nzuri au mbaya ilikuwa ni kusafiri sana,
Hata niwe wapi ataniaga anatoka anaenda sehemu na mimi bila wasiwasi namruhusu, na mtaani ni mtu ana heshima sana.
Simu yakeSawa nitavumilia,
Lakini nitapatsje uthibitisho
Daa, aiseee, umeniona nini KIKULACHOBwana mdogo hana adabu kabisa......
Nipo humu toka JAMBO FORUM, napendaga kusoma tuStrange thing huyu amejiunga JF 2018 na hii ndio thread yake ya kwanza, au ni spare tyre?
Dah! Noma aiseeTena unaweza kuta kati ya hao watoto nne,Mwamba nae ana mbegu yake hapo,na ndiyo maana mawasiliano hayawezi kwisha moja kwa moja!! Wanawake wana siri sana!!
Na wewe ni mzee wa hovyo hovyo una tabia za kishenzi kishenzi 😃😃😃😃😃😃😃Vijana wa hovyo.