Mke wangu kanisave "Mbwa" kwenye simu yake

Natoka kwenye uzi wa MBWA naenda kusoma nyuzi za binadamu wenzangu
 
Mbwa vipi mama mbwa hajambo, mmeshapata kengine la popp [emoji23][emoji23][emoji23]{ hapa nikipewa mabango sijui nitasemaje} haa haa haa
 
Sasa kama hivyo ndivyo anavyo kuona ulitaka afanyaje? πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mbwa daa hata kama mnamaugomvi lakini mnafikia kuitana jibwa uwiii jibwa koko?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nimeitwa mbwa sio jibwa
 
Ha ha ha Mbwa umeacha kubweka na kufanya mambo ya kimbwa mbwa bablai?
 
Kwa uandishi huu muulize mkeo tuu...
ila mungu atusaidie tuu hawa wanawake tunaoa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­!
 
Ha ha ha ha haaaa. Wa Kukaya Tabora.



Mbwa analamba lakini πŸ™‚
 
Daa kmmke walahi kwa hiyo na wewe unakazia kabisa
Ila hata mimi sijapenda muulize kwanini kakusave hivyo! Tuna cheka tu lakini hapana, Huwezi mfanyia hivyo mtu wako wakaribu hata kama mmegombana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…