Mke wangu kanisave "Mbwa" kwenye simu yake

Jiulize je una tabia za mbwa?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Au labda una utaalamu sana wa kulamba mbunye.... Unailambaga dearly km mbwa anavyolambaga vitu
 
Jamaa... Unauhakika kweli kwenu ni Tabora?? Maana zaidi ya hiyo "Mbwa" nilichokiona wewe ni Mr. Misifa kama wale ndugu zetu
 
Huwezi kujua. Labda mke yuko sahihi

Mbona mimi Sky Eclat kanisave honey sijawahi kulalamika JF kama baba yangu ni nyuki?

Mashahidi zangu Kasie na my dear mjukuu Joanah
Haa ha ha; hi nchi itabidi nifanye utafiti, wanaokufa kwa stress au hata kujiua huenda hawana smart phones, kwa majibu ya namna hi unaipata wapi stress?
 
Huyu ndiye mwenye legal rights kama next of kin, ukipata ajali anaweza kuwaambia madaktari wasiendelee nΓ‘ matibabu na uamuzi wake ukaheshimiwa.

Ukifa yeye ndiye mrithi wa hata ile dog kennel uliyojijengea.
Mzee mwenzetu nae kaleta mashtaka juu yako, kwamba umesevu kama honey, sasa ndio anajiuliza, kwani baba yake ni NYUKI!? Tujibie hi kwanza, usiende kwa mwanamke mwenzio wakati na wewe una kashfa ya kumtukana baba mkwe wako. Joke
 
usicheke sio mazuri
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­ nashindwa kujizuiaπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­!
 
pole sana [emoji240]
 
Smart Tv yenye account ya Netflix Laptop na Desktop unamwandaa kuwa film theater and makeup japokuwa anapenda muvi za animations


Sasa kwanini unaumia ukiitwa mbwa
 
Mungu amekuonyesha kabisa wazi kuwa ulikosea kuona!!yaani anakuepusha na Mengi yajayo!!mwache aende kwa kuanza kutafuta Mbwa mwenzako!!
 
We msevu fisi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…