heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Mi ntabadili dini kuwa muislamu ili nioe binti za kiislamu then narudi katk dini yangu maana jina langu ktk nida bado ni la kikiristo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauli yangu haitokaa ibadilike kamwe ni kwamba usije oa au kuolewa na mtu ambaye amakubali kubadili dini kwa ajili ya ndoa . Abadili dini kwa sababu ameifuatilia ,kuisoma na kuifahamu kiundani hadi kujua ukweli upo wapi .Habari wakuu
Naomben mnishauri
Mim nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa.
Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam KWENYE kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.
Tumeishi vizuri miaka yoote hiyo kwa aman na upendo.
Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama NAMPENDA niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.
Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.
Hebu nisaidieni
Kwa binti timamu na anayeijua dini basi hutoweza kumuoa kwa sababu ya kubadili kwako dini , na hata kama itatokea basi muda ule umebadili dini ndoa inavunjika automaticaly hivyo mawanamke anaweza kuondoka zake.Mi ntabadili dini kuwa muislamu ili nioe binti za kiislamu then narudi katk dini yangu maana jina langu ktk nida bado ni la kikiristo
Kheeeh nimechelewa wapiii?? UwiiiiAunt [emoji1]njoo ule daku
Badala ya wee kumuambia unavyojua, una muuliza tena.Hahahahaha..hivi huyo uliyemuita ni aunt kweli? Maana
Huyu haswaliAkirudi maana yake hakuna ndoa imeshavunjika mnaishi sogea tukae kuanzia sasa hivi
Ulivombadilisha ulimfundisha uislam?
Wewe unaswali swala tano?
Ulimfundisha kuswali na afuate mafundisho yake?
Umeongea point sana. Kuna jamaa yangu alioa mke akabaki kuwa mkirsto 20 years ya ndoa mambo tanaenda poa tu. Siku alipotaka kuongeza mke, ndoa ikavunjika. Yeye kashikilia uislamu, mke kashikiria ukristoShida ilianzia pale mmoja alipokubali kubadili dini lwaajili tu ya ndoa! Huu ujinga hautakiwi
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo vizur Aaliyyah Ipo ndoa yamtu wangu wakaribu imevunjika hivi karibuni..alipoenda kwa viongozi wa dini alipewa jibu hilo kuwa hiyo ndoa ilishavunjika tangu siku huyo mwanamke aliporudi kwene dini yake kwaiyo walikuwa wanaishi kama wazinzi tu.Akirudi maana yake hakuna ndoa imeshavunjika mnaishi sogea tukae kuanzia sasa hivi
Ulivombadilisha ulimfundisha uislam?
Wewe unaswali swala tano?
Ulimfundisha kuswali na afuate mafundisho yake?
Mkeo hakufuata dini kwako alifuata mapenzi ya mwili. Usimlaumu kwa sasa mapenzi hamna kaenda kwa Mwamposa hageuki tena, wewe hakikisha hapeleki hela zote huko.Habari wakuu,
Naombeni mnishauri.
Mimi nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa. Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam kwenye kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.
Tumeishi vizuri miaka yote hiyo kwa amani na upendo.
Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama nampenda niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.
Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.
Hebu nisaidieni.
Sasa hapo angeahirisha kuoa tuu maana lengo lilikuwa awe na wake wawili. Angemwomba mkewe yaishe waendelee na maisha.Umeongea point sana. Kuna jamaa yangu alioa mke akabaki kuwa mkirsto 20 years ya ndoa mambo tanaenda poa tu. Siku alipotaka kuongeza mke, ndoa ikavunjika. Yeye kashikilia uislamu, mke kashikiria ukristo
Huo ndo ukweli japo mchunguUpo vizur Aaliyyah Ipo ndoa yamtu wangu wakaribu imevunjika hivi karibuni..alipoenda kwa viongozi wa dini alipewa jibu hilo kuwa hiyo ndoa ilishavunjika tangu siku huyo mwanamke aliporudi kwene dini yake kwaiyo walikuwa wanaishi kama wazinzi tu.
Itakuwa mtu akifindishwa uislam hasa na akauona Kwa matendo mazuri unayofanya sio rahis kurudi dini ya awali mkiwa Bado mko pamojaHuyu haswali
Unalala sana auntKheeeh nimechelewa wapiii?? Uwiiii
Ni auntyangu jamaniHahahahaha..hivi huyo uliyemuita ni aunt kweli? Maana
Hamna ndoa kaka ishavunjika hata aende akaulize Makkah 😄Onana na kiongozi wako wa msikiti, umpe hicho kisa akikwambia ndoa ipo kisheria basi ruhuaa kuendelea nae(utamuacha tu kwa maamuzi yako) ila watoto wape elimu nzuri ya dini uhakikishe wameijua na usiwalazimishe upande wa kuwepo, kikubwa wape elimu.
Ima sheikh akisema ndoa hamna hapo, basi huna budi kuachia goma.
Je ulivyombadili dini ulimpa elimu ya dini, ulikuwa kiongozi mzuri kwake, ama ndio ile muislam jina, ukiwa muislam lazima uoneshe athari za uislam wako, marafiki, majirani n.k wote wapate athari kwamba huyu kweli ni muislam
Pole kwa yote mkuu.