Huyo jamaa anahaki ya kulindwa Sasa kumuachia Mambo yake atakuja kujinyonga hivyo apigwe Ili bichwa lifanyiwe factory resetMbona mnakuwa na uchungu na maisha ya watu kiadi hiki?
Mke ni wake
Hasara ni yake...kwanini umpige?
NAKAZIA KWA RUNGU NYUNDO HAITOSHI.Kwann unakubali mwanamke uliyemuoa, akujibu majibu ya namna hiyo??.
Hakika una feli mbwa wee
uko na ka ukweli fulani,lakini ndo nisijue chochote kinachoendelea mkuu?sio lazima uwe karibu, inatakiwa kila siku akupe taarifa ya mauzo yote, matumizi yote ya kwenye biashara. Tatizo naloliona hiyo biashara hukuifungua kwa nia ya kkukuongezea kipato. Ulifungua kwa nia ya kumpa mkeo sehemu ya kupotea muda asikae nyumbani, ndio maana huijali
Wale wanaofanya kusudi watajifunza,lakini mbumbumbu ni bure,hata ungemfunga jela,hawezi jirekebisha.Mpeleke kwao mpaka awe anaakili yakuwa ameolewa ndio arudi
sio kweli mkuu,mi mkoloni sana.Mkeo kakuzidi akili.
Basi mwache hukoWale wanaofanya kusudi watajifunza,lakini mbumbumbu ni bure,hata ungemfunga jela,hawezi jirekebisha.
Ni kweli unafeli na huyo mwanamke ashakuona ww ni FalaWakuu,
Nilikatiwa kipande cha ardhi na kanisa, kwa makubaliano kwamba nijenge fremu halafu tutakatana kwenye kodi na makato yakiisha fremu itakuwa mali ya kanisa.
Unapewa miezi 3 ya kujenga, hata kama hujamaliza fremu inaanza kusoma. Nilimaliza ujenzi ndani ya miezi tisa, nikaweka vifaa vya umeme wa majumbani.
Kwa kuwa mimi ni muajiriwa wa serikali, nikaona bora mke wangu akae maana alikuwa hana shughuli analala tu nyumbani.
Ni miaka miwili imepita bado mwaka mkataba uishe, hela anazouza mimi sizioni wala sijui ziko wapi, vifaa anaenda kujumua yeye, mambo yote ni yeye.
Sasa kuna wakati nakuwa sina hata hela ya kula, ilibidi leo nimuulize, inakuwaje fremu ni ya kwangu nimejenga mimi na mtaji ni wangu kwa nini hela anazificha na mimi sina hela.
Amenijibu kuwa nikiona hivyo, KUNA MAHALI NAFELI akanyamaza.
Sasa wakuu hivi nafeli wapi?
Mkuu kunywa soda popote ulipo nitailipa.Una akili sana man
Don't you ever loose your voice.
Inabid ajue nafasi yake, kwamba yeye ni nini? mpaka akupande kichwani.
Nowadays wanawake kwenye mambo ya hela wanatamaa sana isiyo elezeka
Huenda inachangiwa na hali ya kupewa kila kitu na wazazi hivyo hawajui uchungu wa kutafuta au kupoteza
Wanaona kila kitu rahisi rahisi kwa kivuli cha mwanamke matunzo WTF unatunza nini kama hakileti faida or hakina mchango wowote zaidi yakukupa stress na kukuondolea furaha ya moyo.
Nimeandika kwa hasira sana[emoji23]
Mpige makofi akueleze unafeli wapi! Vijana wa awamu hii mnapitishwa kwenye tanuru!Wakuu,
Nilikatiwa kipande cha ardhi na kanisa, kwa makubaliano kwamba nijenge fremu halafu tutakatana kwenye kodi na makato yakiisha fremu itakuwa mali ya kanisa.
Unapewa miezi 3 ya kujenga, hata kama hujamaliza fremu inaanza kusoma. Nilimaliza ujenzi ndani ya miezi tisa, nikaweka vifaa vya umeme wa majumbani.
Kwa kuwa mimi ni muajiriwa wa serikali, nikaona bora mke wangu akae maana alikuwa hana shughuli analala tu nyumbani.
Ni miaka miwili imepita bado mwaka mkataba uishe, hela anazouza mimi sizioni wala sijui ziko wapi, vifaa anaenda kujumua yeye, mambo yote ni yeye.
Sasa kuna wakati nakuwa sina hata hela ya kula, ilibidi leo nimuulize, inakuwaje fremu ni ya kwangu nimejenga mimi na mtaji ni wangu kwa nini hela anazificha na mimi sina hela.
Amenijibu kuwa nikiona hivyo, KUNA MAHALI NAFELI akanyamaza.
Sasa wakuu hivi nafeli wapi?
Sasa mkuu mke wako unashindwa kumtaiti aeleze anakopeleka Hela! Halafu ndoa sio ya kuacha inajiendea tu automatic, inatakiwa ukae kwenye uskani change gear uendeshe ndoa, Total control uwenayo wewe sio unakaa kifala tu Hela zinatumika hujui na unauliza hujibiwi.Wakuu,
Nilikatiwa kipande cha ardhi na kanisa, kwa makubaliano kwamba nijenge fremu halafu tutakatana kwenye kodi na makato yakiisha fremu itakuwa mali ya kanisa.
Unapewa miezi 3 ya kujenga, hata kama hujamaliza fremu inaanza kusoma. Nilimaliza ujenzi ndani ya miezi tisa, nikaweka vifaa vya umeme wa majumbani.
Kwa kuwa mimi ni muajiriwa wa serikali, nikaona bora mke wangu akae maana alikuwa hana shughuli analala tu nyumbani.
Ni miaka miwili imepita bado mwaka mkataba uishe, hela anazouza mimi sizioni wala sijui ziko wapi, vifaa anaenda kujumua yeye, mambo yote ni yeye.
Sasa kuna wakati nakuwa sina hata hela ya kula, ilibidi leo nimuulize, inakuwaje fremu ni ya kwangu nimejenga mimi na mtaji ni wangu kwa nini hela anazificha na mimi sina hela.
Amenijibu kuwa nikiona hivyo, KUNA MAHALI NAFELI akanyamaza.
Sasa wakuu hivi nafeli wapi?
Asanteee🙏🙏Siku ukifa wanao watateseka sana.
Mkeo hatajua pa kuanzia na mwishowe anaweza kuishia kujiuza.
Jifunze kuwa baba na mume bora.
Hii misimamo yako ni ya kikoloni sana.
Mwanamke ni bora akipata mwalimu na mume bora
Habari my bossA
Asanteee🙏🙏
Kichwa kipi ??mkuu kuwa specificMahali unapofeli;
1. Unashindwa kumdhibiti mkeo ndio maana mkeo naye anashindwa kudhibiti biashara.
Ili uwe na uwezo wa kumdhibiti yeyote lazima ajue kuwa unauwezo wa kumfukuza muda wowote utakao. Hapo lazima awe na heshima.
2. Mkeo sio mfanyabiashara ndio kwanza anahitaji uzoefu wa biashara alafu wewe unamdai Pesa.
Baada ya kumfungulia hiyo biashara ulitakiwa umsimamie mpaka apate uzoefu.
3. Jitahidi uishi kama Mwanaume ndani ya familia. Yaani kichwa. Kichwa ndio kinatawala kila jambo kwenye Mwili.
Ukiona Mkeo anashida basi jua shida yake imeanzia kwako(kichwani)
Kichwa kipi ??mkuu kuwa specific
Anamegwa huyoo..Wakuu,
Nilikatiwa kipande cha ardhi na kanisa, kwa makubaliano kwamba nijenge fremu halafu tutakatana kwenye kodi na makato yakiisha fremu itakuwa mali ya kanisa.
Unapewa miezi 3 ya kujenga, hata kama hujamaliza fremu inaanza kusoma. Nilimaliza ujenzi ndani ya miezi tisa, nikaweka vifaa vya umeme wa majumbani.
Kwa kuwa mimi ni muajiriwa wa serikali, nikaona bora mke wangu akae maana alikuwa hana shughuli analala tu nyumbani.
Ni miaka miwili imepita bado mwaka mkataba uishe, hela anazouza mimi sizioni wala sijui ziko wapi, vifaa anaenda kujumua yeye, mambo yote ni yeye.
Sasa kuna wakati nakuwa sina hata hela ya kula, ilibidi leo nimuulize, inakuwaje fremu ni ya kwangu nimejenga mimi na mtaji ni wangu kwa nini hela anazificha na mimi sina hela.
Amenijibu kuwa nikiona hivyo, KUNA MAHALI NAFELI akanyamaza.
Sasa wakuu hivi nafeli wapi?
Mkuu kafanye ukaguzi wa mahesabu ili kujua faida inatumika Sehemu gani.mkuu usijibu hivyo,bado hujaoa,ndoa ina mambo mengi,sio kila kosa ni la kupiga au kuacha mke,mna watoto wa nne,kosa hilo tu umfukuze arudi kwao,sio rahisi kiivyo kiongozi.