Mke wangu kasema nafeli; je, nafeli wapi?

Mke wangu kasema nafeli; je, nafeli wapi?

sio lazima uwe karibu, inatakiwa kila siku akupe taarifa ya mauzo yote, matumizi yote ya kwenye biashara. Tatizo naloliona hiyo biashara hukuifungua kwa nia ya kkukuongezea kipato. Ulifungua kwa nia ya kumpa mkeo sehemu ya kupotea muda asikae nyumbani, ndio maana huijali
uko na ka ukweli fulani,lakini ndo nisijue chochote kinachoendelea mkuu?
 
Wakuu,

Nilikatiwa kipande cha ardhi na kanisa, kwa makubaliano kwamba nijenge fremu halafu tutakatana kwenye kodi na makato yakiisha fremu itakuwa mali ya kanisa.

Unapewa miezi 3 ya kujenga, hata kama hujamaliza fremu inaanza kusoma. Nilimaliza ujenzi ndani ya miezi tisa, nikaweka vifaa vya umeme wa majumbani.

Kwa kuwa mimi ni muajiriwa wa serikali, nikaona bora mke wangu akae maana alikuwa hana shughuli analala tu nyumbani.

Ni miaka miwili imepita bado mwaka mkataba uishe, hela anazouza mimi sizioni wala sijui ziko wapi, vifaa anaenda kujumua yeye, mambo yote ni yeye.

Sasa kuna wakati nakuwa sina hata hela ya kula, ilibidi leo nimuulize, inakuwaje fremu ni ya kwangu nimejenga mimi na mtaji ni wangu kwa nini hela anazificha na mimi sina hela.

Amenijibu kuwa nikiona hivyo, KUNA MAHALI NAFELI akanyamaza.

Sasa wakuu hivi nafeli wapi?
Ni kweli unafeli na huyo mwanamke ashakuona ww ni Fala

Adi kufikia hatua ya kukutamkia hivo ni kweli unafeli, pia kuna wadau wanakuelekeza misingi ya kiume ww unakaza fuvu na kuwaona kama Wana hasira au wakatili Sana,

Tena bila Shaka ww ni wale wanaume mnaojidai wema Sana na wapole kwa wake zenu asa mtapelekeshwa Sana na kugongewa huyo make wako

UKIWA MWEMA NA MPOLE MBELE YA MWANAMKE WAKO LAZIMA UTESEKE SANA

Pia nyuzi nyingi humu zinaeleza mambo yote ila mnajidai kukaza fuvu na kuja kulalamika au ingia hata Google au YouTube huko utapata maelezo ya kutosha ni namna gani mwanaume anatakiwa awe haijalishi mna watoto au hamna ila misingi ndo Ile Ile

Pole Sana japo hizo shida chanzo kikubwa ni wewe mwenyewe
 
Una akili sana man

Don't you ever loose your voice.

Inabid ajue nafasi yake, kwamba yeye ni nini? mpaka akupande kichwani.

Nowadays wanawake kwenye mambo ya hela wanatamaa sana isiyo elezeka

Huenda inachangiwa na hali ya kupewa kila kitu na wazazi hivyo hawajui uchungu wa kutafuta au kupoteza

Wanaona kila kitu rahisi rahisi kwa kivuli cha mwanamke matunzo WTF unatunza nini kama hakileti faida or hakina mchango wowote zaidi yakukupa stress na kukuondolea furaha ya moyo.

Nimeandika kwa hasira sana[emoji23]
Mkuu kunywa soda popote ulipo nitailipa.
 
Wakuu,

Nilikatiwa kipande cha ardhi na kanisa, kwa makubaliano kwamba nijenge fremu halafu tutakatana kwenye kodi na makato yakiisha fremu itakuwa mali ya kanisa.

Unapewa miezi 3 ya kujenga, hata kama hujamaliza fremu inaanza kusoma. Nilimaliza ujenzi ndani ya miezi tisa, nikaweka vifaa vya umeme wa majumbani.

Kwa kuwa mimi ni muajiriwa wa serikali, nikaona bora mke wangu akae maana alikuwa hana shughuli analala tu nyumbani.

Ni miaka miwili imepita bado mwaka mkataba uishe, hela anazouza mimi sizioni wala sijui ziko wapi, vifaa anaenda kujumua yeye, mambo yote ni yeye.

Sasa kuna wakati nakuwa sina hata hela ya kula, ilibidi leo nimuulize, inakuwaje fremu ni ya kwangu nimejenga mimi na mtaji ni wangu kwa nini hela anazificha na mimi sina hela.

Amenijibu kuwa nikiona hivyo, KUNA MAHALI NAFELI akanyamaza.

Sasa wakuu hivi nafeli wapi?
Mpige makofi akueleze unafeli wapi! Vijana wa awamu hii mnapitishwa kwenye tanuru!
 
Wakuu,

Nilikatiwa kipande cha ardhi na kanisa, kwa makubaliano kwamba nijenge fremu halafu tutakatana kwenye kodi na makato yakiisha fremu itakuwa mali ya kanisa.

Unapewa miezi 3 ya kujenga, hata kama hujamaliza fremu inaanza kusoma. Nilimaliza ujenzi ndani ya miezi tisa, nikaweka vifaa vya umeme wa majumbani.

Kwa kuwa mimi ni muajiriwa wa serikali, nikaona bora mke wangu akae maana alikuwa hana shughuli analala tu nyumbani.

Ni miaka miwili imepita bado mwaka mkataba uishe, hela anazouza mimi sizioni wala sijui ziko wapi, vifaa anaenda kujumua yeye, mambo yote ni yeye.

Sasa kuna wakati nakuwa sina hata hela ya kula, ilibidi leo nimuulize, inakuwaje fremu ni ya kwangu nimejenga mimi na mtaji ni wangu kwa nini hela anazificha na mimi sina hela.

Amenijibu kuwa nikiona hivyo, KUNA MAHALI NAFELI akanyamaza.

Sasa wakuu hivi nafeli wapi?
Sasa mkuu mke wako unashindwa kumtaiti aeleze anakopeleka Hela! Halafu ndoa sio ya kuacha inajiendea tu automatic, inatakiwa ukae kwenye uskani change gear uendeshe ndoa, Total control uwenayo wewe sio unakaa kifala tu Hela zinatumika hujui na unauliza hujibiwi.
 
A
Siku ukifa wanao watateseka sana.
Mkeo hatajua pa kuanzia na mwishowe anaweza kuishia kujiuza.

Jifunze kuwa baba na mume bora.

Hii misimamo yako ni ya kikoloni sana.

Mwanamke ni bora akipata mwalimu na mume bora
Asanteee🙏🙏
 
Yaan mim mke wangu au mtu ninaemlisha nyumban akinijibu hivyo, kwanza ni kichapo heavy... ushauri atapewa na wazaz wake
 
Mahali unapofeli;

1. Unashindwa kumdhibiti mkeo ndio maana mkeo naye anashindwa kudhibiti biashara.
Ili uwe na uwezo wa kumdhibiti yeyote lazima ajue kuwa unauwezo wa kumfukuza muda wowote utakao. Hapo lazima awe na heshima.

2. Mkeo sio mfanyabiashara ndio kwanza anahitaji uzoefu wa biashara alafu wewe unamdai Pesa.
Baada ya kumfungulia hiyo biashara ulitakiwa umsimamie mpaka apate uzoefu.

3. Jitahidi uishi kama Mwanaume ndani ya familia. Yaani kichwa. Kichwa ndio kinatawala kila jambo kwenye Mwili.
Ukiona Mkeo anashida basi jua shida yake imeanzia kwako(kichwani)
Kichwa kipi ??mkuu kuwa specific
 
Wakuu,

Nilikatiwa kipande cha ardhi na kanisa, kwa makubaliano kwamba nijenge fremu halafu tutakatana kwenye kodi na makato yakiisha fremu itakuwa mali ya kanisa.

Unapewa miezi 3 ya kujenga, hata kama hujamaliza fremu inaanza kusoma. Nilimaliza ujenzi ndani ya miezi tisa, nikaweka vifaa vya umeme wa majumbani.

Kwa kuwa mimi ni muajiriwa wa serikali, nikaona bora mke wangu akae maana alikuwa hana shughuli analala tu nyumbani.

Ni miaka miwili imepita bado mwaka mkataba uishe, hela anazouza mimi sizioni wala sijui ziko wapi, vifaa anaenda kujumua yeye, mambo yote ni yeye.

Sasa kuna wakati nakuwa sina hata hela ya kula, ilibidi leo nimuulize, inakuwaje fremu ni ya kwangu nimejenga mimi na mtaji ni wangu kwa nini hela anazificha na mimi sina hela.

Amenijibu kuwa nikiona hivyo, KUNA MAHALI NAFELI akanyamaza.

Sasa wakuu hivi nafeli wapi?
Anamegwa huyoo..
Pole.
Humkuni ipasavyo..
Pole sana.

Man Down.. my condolences..
😞😞😞
 
Back
Top Bottom