Mke wangu kasema nafeli; je, nafeli wapi?

Mke wangu kasema nafeli; je, nafeli wapi?

Kanisa litashukuru sana kwa kuwajengea fremu, ambazo kiuhalisia wewe na familia yako mmeingia hasara.
Pole sana.
 
Wakuu,

Nilikatiwa kipande cha ardhi na kanisa, kwa makubaliano kwamba nijenge fremu halafu tutakatana kwenye kodi na makato yakiisha fremu itakuwa mali ya kanisa.

Unapewa miezi 3 ya kujenga, hata kama hujamaliza fremu inaanza kusoma. Nilimaliza ujenzi ndani ya miezi tisa, nikaweka vifaa vya umeme wa majumbani.

Kwa kuwa mimi ni muajiriwa wa serikali, nikaona bora mke wangu akae maana alikuwa hana shughuli analala tu nyumbani.

Ni miaka miwili imepita bado mwaka mkataba uishe, hela anazouza mimi sizioni wala sijui ziko wapi, vifaa anaenda kujumua yeye, mambo yote ni yeye.

Sasa kuna wakati nakuwa sina hata hela ya kula, ilibidi leo nimuulize, inakuwaje fremu ni ya kwangu nimejenga mimi na mtaji ni wangu kwa nini hela anazificha na mimi sina hela.

Amenijibu kuwa nikiona hivyo, KUNA MAHALI NAFELI akanyamaza.

Sasa wakuu hivi nafeli wapi?
Aseee! Kazi kweli
 
Wakuu,

Nilikatiwa kipande cha ardhi na kanisa, kwa makubaliano kwamba nijenge fremu halafu tutakatana kwenye kodi na makato yakiisha fremu itakuwa mali ya kanisa.

Unapewa miezi 3 ya kujenga, hata kama hujamaliza fremu inaanza kusoma. Nilimaliza ujenzi ndani ya miezi tisa, nikaweka vifaa vya umeme wa majumbani.

Kwa kuwa mimi ni muajiriwa wa serikali, nikaona bora mke wangu akae maana alikuwa hana shughuli analala tu nyumbani.

Ni miaka miwili imepita bado mwaka mkataba uishe, hela anazouza mimi sizioni wala sijui ziko wapi, vifaa anaenda kujumua yeye, mambo yote ni yeye.

Sasa kuna wakati nakuwa sina hata hela ya kula, ilibidi leo nimuulize, inakuwaje fremu ni ya kwangu nimejenga mimi na mtaji ni wangu kwa nini hela anazificha na mimi sina hela.

Amenijibu kuwa nikiona hivyo, KUNA MAHALI NAFELI akanyamaza.

Sasa wakuu hivi nafeli wapi?
Sasa mkuu si ulipaswa uambiwe ulipofeli ni wapi na mkeo, sisi tutajua vipi? Kwa kweli umefeli mzee
 
Wakuu,

Nilikatiwa kipande cha ardhi na kanisa, kwa makubaliano kwamba nijenge fremu halafu tutakatana kwenye kodi na makato yakiisha fremu itakuwa mali ya kanisa.

Unapewa miezi 3 ya kujenga, hata kama hujamaliza fremu inaanza kusoma. Nilimaliza ujenzi ndani ya miezi tisa, nikaweka vifaa vya umeme wa majumbani.

Kwa kuwa mimi ni muajiriwa wa serikali, nikaona bora mke wangu akae maana alikuwa hana shughuli analala tu nyumbani.

Ni miaka miwili imepita bado mwaka mkataba uishe, hela anazouza mimi sizioni wala sijui ziko wapi, vifaa anaenda kujumua yeye, mambo yote ni yeye.

Sasa kuna wakati nakuwa sina hata hela ya kula, ilibidi leo nimuulize, inakuwaje fremu ni ya kwangu nimejenga mimi na mtaji ni wangu kwa nini hela anazificha na mimi sina hela.

Amenijibu kuwa nikiona hivyo, KUNA MAHALI NAFELI akanyamaza.

Sasa wakuu hivi nafeli wapi?
Pole sana, kimsingi umejengea kanisa na wewe umepoteza. Mkeo bora angeendelea kukaa nyumbani na ungetakiwa utafute mtu wa kusimamia na wewe uwe msimamizi mkuu. Biashara si lelemama na si kila mtu anaiweza. Najua utakuwa umejifunza kupitia hili.
Na sisi wanawake tuache kuwa mizigo kwa wenza wetu.
 
Umeyatimba , huyo mbane vizuri atazitaja code otherwise utaendelea kulea ugonjwa. Viumbe hatari sana hawa
 
Wakuu,

Nilikatiwa kipande cha ardhi na kanisa, kwa makubaliano kwamba nijenge fremu halafu tutakatana kwenye kodi na makato yakiisha fremu itakuwa mali ya kanisa.

Unapewa miezi 3 ya kujenga, hata kama hujamaliza fremu inaanza kusoma. Nilimaliza ujenzi ndani ya miezi tisa, nikaweka vifaa vya umeme wa majumbani.

Kwa kuwa mimi ni muajiriwa wa serikali, nikaona bora mke wangu akae maana alikuwa hana shughuli analala tu nyumbani.

Ni miaka miwili imepita bado mwaka mkataba uishe, hela anazouza mimi sizioni wala sijui ziko wapi, vifaa anaenda kujumua yeye, mambo yote ni yeye.

Sasa kuna wakati nakuwa sina hata hela ya kula, ilibidi leo nimuulize, inakuwaje fremu ni ya kwangu nimejenga mimi na mtaji ni wangu kwa nini hela anazificha na mimi sina hela.

Amenijibu kuwa nikiona hivyo, KUNA MAHALI NAFELI akanyamaza.

Sasa wakuu hivi nafeli wapi?
Duh!..ndoa zina mengi sana
 
Mkuu kunywa soda popote ulipo nitailipa.
Naam kaka kuna mda namind mpaka nataman kuwa influencer ili diss zangu ziwe na sauti

Jina langu na... TATE, KIBE ... tunafanana hata mitazamo yetu juu ya hivi viumbe.

Anyway pepsi 😋 niliokunywa imeshusha hasira.
 
Manzi anakuchana 'UNAFELI" halafu Bado hujamrudisha Kwao ww ni bumunda?Mimi Kwa jibu Hilo sitaki kujua nafeli kitandani au wapi natimua
 
WE muulize kama mi nafeli wewe unafaulu wapi!?
Wakuu,

Nilikatiwa kipande cha ardhi na kanisa, kwa makubaliano kwamba nijenge fremu halafu tutakatana kwenye kodi na makato yakiisha fremu itakuwa mali ya kanisa.

Unapewa miezi 3 ya kujenga, hata kama hujamaliza fremu inaanza kusoma. Nilimaliza ujenzi ndani ya miezi tisa, nikaweka vifaa vya umeme wa majumbani.

Kwa kuwa mimi ni muajiriwa wa serikali, nikaona bora mke wangu akae maana alikuwa hana shughuli analala tu nyumbani.

Ni miaka miwili imepita bado mwaka mkataba uishe, hela anazouza mimi sizioni wala sijui ziko wapi, vifaa anaenda kujumua yeye, mambo yote ni yeye.

Sasa kuna wakati nakuwa sina hata hela ya kula, ilibidi leo nimuulize, inakuwaje fremu ni ya kwangu nimejenga mimi na mtaji ni wangu kwa nini hela anazificha na mimi sina hela.

Amenijibu kuwa nikiona hivyo, KUNA MAHALI NAFELI akanyamaza.

Sasa wakuu hivi nafeli wapi?
 
Anahonga Kwa mwanaume mwingine kwa kuwa anakunwa kimwamba huko
 
Umejisahau kuwa wewe ni nani kwenye familia na mamlaka yapo mi yapi ndomana mkeo amekudharau muda si mrefu atakutia singi la kichwa kama usipojitambua wewe ni nani
 
anapika bila shida,na hela za chakula naacha mimi zote,ada za watoto shule,nauli akitaka kwenda hata kkoo au kanisani nampa mimi.
Kama anapika pesa ya kula unaitaka ukale mwenyewe,kula wanachokula familia yako. Mkeo ana elimu dunia ya kiwango kipi? Je anatunza kumbukumbu za biashara?
 
Back
Top Bottom