Mke wangu kawa chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya jirani yangu

Kuna msemo " birds of the same feathers fly together' maana yake ndege wanaofanana huruka pamoja. Mkeo naye kuna uwezekano mkubwa anaye mtu wake wa pembeni ambaye simu ya huyo shoga yake ndio inatumika kwa mawasiliano kwa vile anafaha.mu yake umeitega. Fanya hivi: mtongoze huyo binti jifanye unataka kumpangia lqkini kwa siri mkishakubaliana muulize akwambie mkeo anatembea na nani na kuwa utamchukua yeye kumfanya mke wako nina imani atakuambia data zote za mkeo. Baada ya kukuambia unaachana naye bila kutembea naye. Inawezekana kuna siku huyo binti alitumia nyumba yako kufanya mapenzi na mchaga wake kwa kuwa ratiba yako ya kurudi inafaha.ika vyema.

Kuhusu huyo binti anayependwa ni mchaga sio ticha ila kwa ticha kuna utulivu wa maisha ndio maana yule mchaga alipomdanganya anatska kumuoa alikuwa anasita kukubali ila alitakq aendelelee kuwa kwa ticha lakini pembeni akiendelea kuchapwa na mchaga. Jiulize baada ya kufukuzwa na ticha mtu angetegemea iwe rahisi kuhamia kwa mchaga kwani sasa hana alternative lakini bado hataki na anabembeleza arudi kwa ticha ; na akifanikiwa kurudi bado ataendelea na mchaga ila atakuwa makini zaidi. Huyo msichana alipata nafasi ya kulinganisha uwezo wa kitandani wa hao wanaume wawili na akaona mchaga yuko vizuri zaidi na anamzidi ticha mbali sana ndio maana alikubali kutake risk. Ila kwa kuwa mwanamke anaangalia kwanza pesa akishapata mwenye pesa na kushiba ndipo sasa analeta hoja kuwa hamttoshelezi na kuanza kutoka nje ya ndoa.
 
Single maza ni mziki sana! Kiukweli ni heri ushuhudie kaburi la alie kutangulia ila c kwa usumbufu ambao unatokea na bahati mbaya wanawake wenyewe hua wanajifanyaga master mind wapumbavu sana " usimuache mwanamke mchawi akaishi "
 
Mkuu deep bond huwa nakukubali sana kwa maamuzi yako na kwa hili uko sawa kabisaaaa..Mimi ningemzibua makofi wife bila kusita chochote ,alichofanya ni utoto wa hali ya juu.

Huyo binti akiendelea kukaa hapo maana yake ni kwamba wewe na mkeo mnakaa na mke wa mtu na mmeridhia bila shaka lolote.

Cha msingi ukimkuta huyo binti kwako,basi timu wote hakuna namna hapo WATAVUNA WALICHOPANDA.
 

Sure
 
Binadamu bhana, kweli tuna vichwa ngumu...,kwann uwasiliane na MTU ambaye hakukupa thamani...ivi wanajua maana ya ex kweli? Inaumiza sana....kiukweli masingle mom tuacheni tu hata msituoe...tumekubuhu..khaa

Ndio mana kwenye vikao vyetu tumekuadhimia pamoja pasi na shaka kwamba mpaka tuone kaburi la baba wa mtoto wako ndo tutaoa single maza
 
Baba unachelewa.. mpe likizo huyo mke wako aende nyumbani akajitathmini kwanza alipokosea, huyo mkeo ana akili za kitoto mno na hii ndo fursa pekee ya wewe kumpa shule. Potelea mbali hata ndoa ikivunjika we usijali sana
 
Katika vitu siwezi ni ushoga na kushirikishana ishu za kipumbavu kama hizi za ukiwadii. deep pond msamehe WiFi binamu. Ni kosa lake la kwanza...

Kwanza huwa nikimuacha mtu au akiniacha iwe kwa wema au kwa ubaya ndo imetoka hivyo huwa sirudii matapishi mie.

Hata tulale kitanda kimoja na dear ex asee hawezi kulamba. Halafu wala situmii nguvu...nacheka vizuri tu ila ndo hvo mzigo halii.
Yani wamekuchakaza hukoo halafu eti nikufunulie utamu wangu wangu....never. ikitokea mniite mbwa nimekaa paleeeeee
 
Baba unachelewa.. mpe likizo huyo mke wako aende nyumbani akajitathmini kwanza alipokosea, huyo mkeo ana akili za kitoto mno na hii ndo fursa pekee ya wewe kumpa shule. Potelea mbali hata ndoa ikivunjika we usijali sana
Sawa sawa[emoji4]
 
Sio kwmb ungesubir urudi kwanza home then utuambie maamuz yako ni yap stori ikamilike au unataka ushauri wetu
 
Ushauri kama mwanaume na kijana mwenye ndoa changa,

1,punguza hasira sana alaf kumbuka huyo unayetaka kumfukuza ni mkeo sio mama j,so popote atakapoenda akifanya upumbavu utaaibika wewe.

2,mtafute mchaga ukiwa huna hasira na yeye akiwa hana hasira mkae kama wanaume muangalie namna ya kujenga ndoa zenu upya kwan hapo hata wewe ndoa yako inafukuta.

3,kama mkifanikiwa kumaliza tofauti zenu na mkeo kua nae karibu kama rafiki ili mambo kama hayo uyajue mapema ,umewekeza kwa madanga mpaka ukaribu na mkeo haupo,ingekua una ukaribu na mkeo huyo single mama asingekutana na single baba wake mara tatu hapo kwako na bdo usijue,inaonesha ni mara chache sana unakua na familia.

N:B::ULICHOKIONA KWA MCHEPUKO KUNA MTU KAKIONA KWA MKEO,KAA KIMASTA NA NDOA YAKO.
 
Ambaye hana akili ni Mke wa mtoa Mada.....!
 
Tupe mrejesho. Umefukuza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ