Mke wangu kawa chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya jirani yangu

Umechanganya,
Aliemuoa binti Ni ticha sio mchaga,
Mchaga Ndo alimzalisha na kumtelekeza
 
Asante Sana binamu
 
Nenda kamfukuze huyo Mama D. Usimuonee haya.

Unavyozidi kukaa na mke wa mtu ndivyo unavyozidi kuzidisha matatizo.

Mkeo amekutukanisha sana. Peleka kwao na mdogo wake.
 
Duh
 
sijawahi kuona Uzi wako JF tofauti na mambo ya Mapenzi,Mchepuko nk,kazi kwelikweli
 
Mkuu chukua wazee wa 3 wenye heshima na wanao muwez ticha ata ikiwezekana mtafute kiongoz wa ticha
(angalizo wengn hawapend mambo yako kufik kazn kama kiongoz wake hana siri achana nae) kiongoz wa din n.k waeleze jinsi ilivyo alafu uend kwa Ticha uiombee familia yako msamaha na ikiwezekan umuombee msamaha huyo dada jambo liishi hata kama hatokubali laikn utakuw umefanya jambo kubwa kuonyesh umezngatia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…