Mke wangu kawa chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya jirani yangu

Ni marufuku kuoa Single Mother.
 
Huyu tisha mshenzi sana.

Unaoaje Singo maza na kabuli la mzazi mwenza hujaliona?... Nyambafyu kabisa
 
Huyo mwl jinga sana, utaoaje singo mama? Bora katimua mapema, angelea mimba si zake.
 
Mama D wa DeepPond na Mama D ni ndege wafananao sasa wanaachaje kuruka pamoja. Inawezeka wasifanene kwenye kumiliki ticha na mchaga lakini wakawa na kakitu kao ambako wanakafanya pamoja

Utu uzima dawa

mtongoze huyo single maza afu fanya kusudi mkeo ajue ....urafiki utaishia hapo hapo atamfukuza mapema sanaa...........kanuni ni ile ile ukiona mkeo ana rafiki asiyefaa mtongoze huyo ragiki yake.....na ufanye kusudi mkeo ajue...urafiki na mazoea yatakufa hapo hapo
 
Mrejesho kama mimi namtimua Mke wangu siku ile ile alipotimuliwa mke wa ticha ,Mwanaume anafaida sana tofauti na mwanamke , ticha alimuunga msela material adi nyumba ikaisha kwahyo anaumuhimu sana msela ,siku itatokea tenda shuleni kujenga madarasa atamunga tena msela ,

all in all :KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO: BILA STRESS.
 
Umepata jambo lakukupotezea muda.
 
Ndio maana Mama J humuachi.
 
Anayefuatia kupigwa tukio ni wewe hapo Mkuu, time will tell hapo hauna mke am sorry lakini kwa kutumia maneno magumu
 
We huko yule mchepuko yupo. unahangaika nini.
Wife wako anagongwa na wote wawili hao majirani na sijui baba mtoto kua makini.
Wote wanamla mkeo we ukiwa kwa makinikia huko ufunge duka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…