Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ticha kawa mbogo,Kwa mambo kama haya sasa naelewa kwa nn wanaume wanaogopa singo mama. Mwanamke akiwa hajielewi kama huyo ni hatari anawaponza na wengine wasio na upuuzi kama wake. Miaka ambayo jamaa yake alimtelekeza angetulia na huyo mumewe alieamua kumuheshimisha na kumfanya mkewe ajabu analeta ujinga. Hata ningekua mimi ni huyo ticha ningemfukuzia mbali.
Makosa yangu Ni yapi tafadhali nifahamishe mkuuPole sana DeepPond .Jambo unalopitia unahitaji muda kidogo ili uweze kuokoa ndoa yako na ya Ticha.Usiende pupa utaharibu.
Mkeo na Shoga ake wote wanamakosa,wewe pia una makosa yako kwenye sakata hilo.
Anza na wewe,uje ya mkeo then umalizie na ya Tisha.
Ukikurupuka unaharibu kila kitu,na wewe utaharibikiwa.
Ni hayo tu kwa sasa[emoji119]
Nadhan kuignore haiyokua Jambo jema,Hii habari ni very complicated sensitive. Just buy your time ignore the stupid . Tambua Nuhu alipata tabu kama hii na mke wake. Hata mzee wa Dodoma na Gomora Ali fanya Ku ignore mke wake akigeuka nguzo ya chumvi. Women are stupidy by nature. Go and ask Adam wa Eden
Ushaanza ukorofi wako trudieSasa mwanaume kama huyu amabe masaa 21 kati ya 24 anayatumia kwa michepuko unadhani ataweza kuendesha nyumba yake kwa nidhamu??
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mkuu kama ratiba yako ni kutoka kazini then kwa mwanachuo halafu kwa mama J kumalizia bao, ukitoka hapo kwa fundi cherehani nyumbani unaingia saa 7 usiku unadhani utajulia wapi kama kuna mchaga anakuja kwako kukutana na baby mama wake??Ushaanza ukorofi wako trudie
Michepuko yangu inaingiaje Hapa aisee[emoji848]
Ndo zenu "paka akitoka panya ujitawala"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mkuu kama ratiba yako ni kutoka kazini then kwa mwanachuo halafu kwa mama J kumalizia bao, ukitoka hapo kwa fundi cherehani nyumbani unaingia saa 7 usiku unadhani utajulia wapi kama kuna mchaga anakuja kwako kukutana na baby mama wake??
Sent using Jamii Forums mobile app
Una ndoa ya Ticha ya kuiokoa,na yako kuikarabati.Makosa yangu Ni yapi tafadhali nifahamishe mkuu
[emoji1787][emoji1787]Nimeishia pale uliposema unafuatilia simu za mkeo
Mwanaume handsome anapata papuchi za bure, mwanaume mwenye sura mbaya anailipia papuchi pesa na kuzungushwa sana Kabla ya kupewa, mwanaume handsome anakula na kuenjoy ujana wa mdada (15-25years) mwanaume mwenye sura ngumu Analishwa makombo na anakumbukwa na wadada walio na miaka (28-30 Wasio na ndoa) na single mothers ambao hawajaolewa/walioachika kwasababu mwanaume mwenye sura ngumu ana kijikazi cha kumuingizia helaNitafsirie tafadhali
Dah! Mbona unanifokea hivo dada angu[emoji22]Na huu uzi uwe wa yeye kuingia JF na kuusoma.. nawe kwa matendo unamtenda bado.. akimaliza kabisa.. natakamani nimtumie ujumbe nimwambie.. aishi yake na wala asitoke hapo.. hauna aibu kwa tabia zako unazoandika humu.. acha akitoe aibu na bado.. lia kabisa