Mke wangu ni mchawi ama mama ndio mchawi?

Mkuu hao wote ni wachawi na wameshajuana. Wanachofanya ni kujihami kwako. Omba sana Mungu kwa imani yako.
 
Pole aisee kiatu chako hakivaliki,, kila la heri ktk kutatua hili
 
Mama yako anasema ana karama ya kuona matukio, Je kuna dawa ya kumuonyesha mtu maono yako? Hivyo Mama ni member, Pia Mke alipandisha mashetani, inaonekana naye kama sio member wa kudumu basi amepitapita huko wanakoongeza matatizo na hayo mauchafu aliyabeba pengine yamlinde. Sasa yawezekana mama alikuwa anjaribu kwa mkeo kumbe na mkeo nae kafungasha. Apo ita wote , Baba, Mama, Mkeo na Mkwe ikibidi. Na kama ukweni hawana itikadi za kishirikina watakusaidia sana kumaliza hiyo. Kabla ya kwenda church au wapi kwanza ita wote kila mmoja aeleze kwanini ana muhisi mwenzie, interrogation kwa wanawake is an esiest thing lazima watalipukiana na mmoja atasema ukweli tu. Pia wewe ni wakiume kama una uhakika na umejidhihirishia baba sio member, mvute chemba akupe dots za mama kisha kaa uka connect mwenyewe, Pia linganisha na za mkeo kwa miaka sita yote. Naimani utapata kitu.
 
Mkuu nakushauri nenda kwa mwamposa kwenye maombi
 
Ibarikiwe mkuu hata mimi mkewangu ana tatizo la maluhani anapandisha mara kwa mara anapoona wachawi au kitu kibaya
 
Ibarikiwe mkuu hata mimi mkewangu ana tatizo la maluhani anapandisha mara kwa mara anapoona wachawi au kitu kibaya
Mkuu kma unataka msaada kuhusu tatizo lko nambie nikusaidie usione jambo dogo ilo
 
Very true.nilimsikia mama mmoja upendo Tv alisema kama kwenye familia kuna mama mchawi wale watoto wake wa kiume lazima ataoa mwenga mchawi ili kuendeleza uchawi wao..
Hao wote wanga. Walikuwa timu moja wamezidiana speed. Mamaako ndio alimshauri mkeo aolewe na wewe baada ya kukutana anga zao. Sasa wamezidiana speed,wamechenjiana
 
Wote wachawi

Wewe na hao wachawi wenzako.

Unasikilza maruhani
 
Ushauri

Ningekuwa Mimi ningefanya yafuatayo.
Kwa kuwa Dawa uliyopewa na Mama umuone mkeo tayari Ulishamkabidhi mkeo. Mwambie Mkeo Akupe hiyo Dawa kiboko ya kumuona Mama yako.. itumie Kama ukifanikiwa kumuona Mama yako mubashara Akiwanga mshukuru Mkeo then mwambie Utajua namna ya kushughulika na Mama yako.

Kisha Rudi kwa Mama Kama hakijatokea kitu Mwambie Mama ile Dawa ya mwanzo Mke wangu Aliigundua na kuninyang'anya mapema kabla sijaitumia. Hivyo Naomba hiyo Dawa Unifanyie huku huku nyumbani au twende sehemu Nyingine ili nimuone Mke wangu mubashara Lazima atakubari Atakufanyia Hiyo Dawa na utamuona Mke wako Akiwanga kama kweli ni mchawi katika trick hii Utaujua ukweli hivyo hata Ukiamua Kuchukua hatua utakuwa Unajua unachofanya. Kikubwa Tafuta ukweli bila kuwa na upande.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…