Mke wangu ni mchoyo

Mke wangu ni mchoyo

bievinii

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2021
Posts
712
Reaction score
736
Habari ndugu zangu mimi kwakweli nakrekwa na tabia ya mke WANGU.

Yaani mke wangu ni mchoyo na ananifanyia uchoyo Hadi Mimi mtafutaji. Muda wa kula anataka kila mtu ale kivyake kama mboga ni nyama basi kwenye sahani atajiwekea finyango 3 au 4 mimi na watoto anatuwekea moja moja.

Nikimwambia tule pamoja hataki. Jamani huyu mi simuelewi ndio maana ananenepa yeye mi kila siku nazidi kuwa kimbaumbau.

Hebu nishaurini.

1643178543598.png

 
Habari ndugu zangu Mimi kwakweli nakrekwa na tabia ya mke WANGU
Yaani mke WANGU Ni mchoyo na ananifanyia uchoyo Hadi Mimi mtafutaji
Pole sana, ukiwa uko unakotafuta usijisahau mwenyewe, Weka mambo yako sawa kokote utakakokuwa na ukifika nyumbani kilichoko unagusagusa huku ukiwaachia watoto nao waguseguse, ila sielewi Mwanamke anawezaje kuwa mchoyo kwa watoto wake?

Wanawake wengi ni wachoyo sana, simama kwenye nafasi yako kama mwanaume, weka msimamo hakikisha wakati wote unausimamia.
Wanaume tuna advantage nyingi sana, tuna uwezo wa kujitoa OUT wenyewe wakati mambo yakiruhusu, tukiwa uko na marafiki tunaburudika kwa pesa zetu bila kusahau familia zetu, wewe vipi hufanyi hayo?
 
Pole sana, ukiwa uko unakotafuta usijisahau mwenyewe, Weka mambo yako sawa kokote utakakokuwa na ukifika nyumbani kilichoko unagusagusa huku ukiwaachia watoto nao waguseguse, ila sielewi Mwanamke anawezaje kuwa mchoyo kwa watoto wake?
Wanawake wengi ni wachoyo sana, simama kwenye nafasi yako kama mwanaume, weka msimamo hakikisha wakati wote unausimamia.
Wanaume tuna advantage nyingi sana, tuna uwezo wa kujitoa OUT wenyewe wakati mambo yakiruhusu, tukiwa uko na marafiki tunaburudika kwa pesa zetu bila kusahau familia zetu, wewe vipi hufanyi hayo?
Mi napenda pesa yangu niitumie kwenye familia yangu TU
Nikitumia nje SKU nikichacha najilaumu
 
Muache tu ale kama ishu ni kujipakulia vingi itafika wakati atakinai kikubwa ongeza kiasi cha mahemezi. Nunua nyama almost daily kwakua anazipika yeye zitamkinai tu. Kama umeoa mpare ulitegemea nini mzee maana huko kuona nyama mpaka Xmass mwaka mzima wanakula kande wakibadiri Ndizi maharage😅

PS. Ni kosa kubwa kwa mwanamke kuchungulia kwenye sufuria jikoni na kuhesabu/kukagua kiwango cha chakula kilichopikwa au kulaumu chakula ulichopewa na mkeo ni kidogo na yeye kachukua kingi. Huyo ni mke wako kama hakujali kwenye chakula unachohemea ili uwe na afya njema basi wewe acha aendelee na hiyo tabia. Akikua ataacha, au Mama ntilie watamsaidia kuacha
 
Nakuelewa mtoa mada. Kipato chako kinafanya uwe tayari kushare na wanao. Ila Kwa hili inatokana na makuzi ya mkeo. Naamini kabisa kakua katika mazingira ya shida hasa yakupata kumwelimwento ( misosi) Sasa hapo kwako anapaona Kwa kula raha. Sasa mwambie na uwe mkavu kweli kwamba NJAA ZAKE NA UROHO ASIWADHIR WATOTO VINGINEVYO UTAMPINGIA HATA MAMBO JIKONI.
 
Habari ndugu zangu mimi kwakweli nakrekwa na tabia ya mke WANGU

Yaani mke wangu ni mchoyo na ananifanyia uchoyo Hadi Mimi mtafutaji. Muda wa kula anataka kila mtu ale kivyake kama mboga ni nyama basi kwenye sahani atajiwekea finyango 3 au 4 mimi na watoto anatuwekea moja moja.

Nikimwambia tule pamoja hataki. Jamani huyu mi simuelewi ndio maana ananenepa yeye mi kila siku nazidi kuwa kimbaumbau..

Hebu nishaurini.
Mhhh mwambie ukweli, mwambie vitu vipi upendi.....muombee pia kwa Mungu uenda amekua kweny Mazingira ya kunyanyasika sana
 
Habari ndugu zangu mimi kwakweli nakrekwa na tabia ya mke WANGU.

Yaani mke wangu ni mchoyo na ananifanyia uchoyo Hadi Mimi mtafutaji. Muda wa kula anataka kila mtu ale kivyake kama mboga ni nyama basi kwenye sahani atajiwekea finyango 3 au 4 mimi na watoto anatuwekea moja moja.

Nikimwambia tule pamoja hataki. Jamani huyu mi simuelewi ndio maana ananenepa yeye mi kila siku nazidi kuwa kimbaumbau.

Hebu nishaurini.

Wewe ni muongo sana

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Sio mchoyo tu bali ni mroho pia

Watu wa hivyo kuuwa ili waachiwe manyama hayo na kupunguza mtu kwenye share ya familia ni rahisi sana

Ana chembechembe za uchawi huyo
Ataangamiza familia siku moja
Mrudishe kwao mchawi huyo [emoji23][emoji23]
 
Kuna tiba maalumu ya kumtibia mtu mchoyo

Ongeza utafutaji yaani uwe na kipato cha kutosha anza kumuachia pesa ya kutosha na nunua bidhaa za vyakula anazozipenda kwa wingi hapo nyumbani na uwe unampendelea kwa kumuachia afanye hivyo yaani anajiwekea chakula kwa wingi usimchoke fanya hivyo mara kwa mara

Tafuta safari nae muende matembezi mkiona watu barabarani wanaomba omba mpe pesa atoe awape kama kuwasaidia kama sadaka

Tembea nae vituo vya yatima kutoa nae misaada

Yaani mueke mbele mbele kwenye kutoa ukifanya hivyo mara kwa mara atapunguza kama sio kuacha kabisa
 
Nasoma huku NACHEKA [emoji1787][emoji1787][emoji1787]kama namuona vile akiwa kajigubika na kufura wakati wa kula hizo finyango zake 5
 
Mwambie tu mwenzie nyumba ndogo sio mchoyo kama yeye hakika utakuja kunishukuru
 
Back
Top Bottom