Leo kuna jamaa ameuliza swali nikabaki nashangaa...anauliza hivi mbona nikienda bar nalipa bill elfu 50 na anaona ndogo ila kula elfu 20 tu nyumbani na familia yake per day anaona kubwa sanaMi napenda pesa yangu niitumie kwenye familia yangu TU
Nikitumia nje SKU nikichacha najilaumu