Mke wangu ni mchoyo

Mi napenda pesa yangu niitumie kwenye familia yangu TU
Nikitumia nje SKU nikichacha najilaumu
Leo kuna jamaa ameuliza swali nikabaki nashangaa...anauliza hivi mbona nikienda bar nalipa bill elfu 50 na anaona ndogo ila kula elfu 20 tu nyumbani na familia yake per day anaona kubwa sana
 
Leo kuna jamaa ameuliza swali nikabaki nashangaa...anauliza hivi mbona nikienda bar nalipa bill elfu 50 na anaona ndogo ila kula elfu 20 tu nyumbani na familia yake per day anaona kubwa sana
Unaona Sasa?! Haya Mambo mi ndio siyataki sasa
 
Mpeleke bucha ale upande mzima wa mguu wa ng'ombe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…