Nina mke na watoto kadhaa, kutokana na maradhi nke wangu hana uwezo wa kushika mimba tena. Kwakuwa sijatimiza idadi ya watoto ninaotaka nkaona nijiongeze.
Mwanamke ninayetaka kuzaa naye nataka awe ni mwanamke ambaye tayari ana watoto wawili au watatu, asiwe aliyezaa kwa kisu (upasuaji), umri kuanzia miaka 25 - 35 kabila lolote isipokuwa Mmachame.
Idadi ya watoto ninayohitaji kuongeza ni wawili tu, watoto watakuwa mikononi mwa mama yao mpaka watakapofikisha umri wa miaka10 - 12 ndipo nitawachukua na kuwatambulisha kwa ndugu zao na ndugu zangu pia.
Mwanamke ninayetaka kuzaa naye nataka awe ni mwanamke ambaye tayari ana watoto wawili au watatu, asiwe aliyezaa kwa kisu (upasuaji), umri kuanzia miaka 25 - 35 kabila lolote isipokuwa Mmachame.
Idadi ya watoto ninayohitaji kuongeza ni wawili tu, watoto watakuwa mikononi mwa mama yao mpaka watakapofikisha umri wa miaka10 - 12 ndipo nitawachukua na kuwatambulisha kwa ndugu zao na ndugu zangu pia.