- Thread starter
- #41
Unataka iweje?Post haijajitoshelezaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka iweje?Post haijajitoshelezaa
Mmh Kaka kwa. Sijui Kama wewe Ni mkristo au muislam. Kama Ni mkristo Basi huyo ndio make wako ndio uliyefunga nae ndoa hata mbingu zinajua kuwa huyo ndio was kuzaa nae, kupata Shida hayo Ni matatizo yamejitokea ndani ya NDOA. Kaa katika familia yako bro.Nina mke na watoto kadhaa, kutokana na maradhi nke wangu hana uwezo wa kushika mimba tena. Kwakuwa sijatimiza idadi ya watoto ninaotaka nkaona nijiongeze.
Mwanamke ninayetaka kuzaa naye nataka awe ni mwanamke ambaye tayari ana watoto wawili au watatu, asiwe aliyezaa kwa kisu (upasuaji), umri kuanzia miaka 25 - 35 kabila lolote isipokuwa Mmachame.
Idadi ya watoto ninayohitaji kuongeza ni wawili tu, watoto watakuwa mikononi mwa mama yao mpaka watakapofikisha umri wa miaka10 - 12 ndipo nitawachukua na kuwatambulisha kwa ndugu zao na ndugu zangu pia.
Mkuu mwenyewe nimejiuliza kwa Nini anataka mwanamke aliyezaa tayari na tena sio mtoto mmoja. Tena kaweka mpaka umri,Tafuta singo maza yeyote, uanze kumuhudumia baada ya muda utaona matokeo
HahahaVipi mkeo umemshirikisha lakini?Hivi ukifariki kabla hajajifungua au hao watoto kabla hawajafika miaka kumi?