- Thread starter
- #21
Wewe unautaka ugumu mkuu?Pillato, yaani kirahisi rahisi hivyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unautaka ugumu mkuu?Pillato, yaani kirahisi rahisi hivyo?
Nafahamu ndio maana nataka iwe siri mpaka watoto watakapofikisha miaka 10-12 hata umri wetu utakuwa ushasongaUtaongeza maumivu kwa mkeo maradufu pia iyo itakuwa ndo anguko la ndoa yako
Kwanza anamaumiv ya kutokushika mimba
Pili umezalisha nje kwa sabbu ya tatizo lake
Pia angalia lisiwe anguko la ndoa yako
NB sumu ya panya Bei poa Sana kuwa makini Sana
Kama una uwezo wa kuhonga laki, 4, 3 .. utawapata; wataamini una uwezo wa kuhudumiaNipe mbinu mkuu,naanzaje?
Hakuna kanuni ya kuomba papuchi, unaweza ukaomba kisasa na ukakosa vilevile
Unauhakika utafikia miaka hiyo?je huyo utaekuwa atakuwa na uwezo wa kuzaa km unavyotaka watoto salama?Nafahamu ndio maana nataka iwe siri mpaka watoto watakapofikisha miaka 10-12 hata umri wetu utakuwa ushasonga
Kwahiyo nijipange upya nimeshakupata?Ila unaomba kizamani sana, tena jf
Ebwanaeeee mbona tunatishana ?????Unauhakika utafikia miaka hiyo?je huyo utaekuwa atakuwa na uwezo wa kuzaa km unavyotaka watoto salama?
hatuombei mabaya je mama kapoteza maisha wakat anjifungua mtoto atkaa wapi iyo miaka kumi unayotaka atambulike?utakuwa tayar kulipa gharama ya maumivu utayompa mkeo ??
[emoji16][emoji16]aya ngoja nipite niwaachie waungwana waje watoe ushauriEbwanaeeee mbona tunatishana ?????
Mara ya mwisho nilihonga 500,000 ilikuwa 2015 Sasa hivi mwisho 10,000Kama una uwezo wa kuhonga laki, 4, 3 .. utawapata; wataamini una uwezo wa kuhudumia
Daaa wewe sio mtu mzuri,umenibananisha mpaka nataka kughaili.[emoji16][emoji16]aya ngoja nipite niwaachie waungwana waje watoe ushauri
ha ha haMara ya mwisho nilihonga 500,000 ilikuwa 2015 Sasa hivi mwisho 10,000
MshirikisheHapana
Watoto wanne halafu mkeo mgumba?Wanne
Utakuwa hujaelewa bila shaka , rudia kusoma ukiwa umetulia,mgumba sio mke wangu ni mchepuko ambaye nipo naye kwa sasa,huo mchepuko nataka kuubwaga.Watoto wanne halafu mkeo mgumba?
CCM oyeee
Hasira zako za kuzalishwa na kutelekezwa hukohuko.Mtu unakuja hapa ukute uwezo wa kutunza mimba na mtoto huna
Benefit ni watoto wenyewe watakao zaliwaNunua incubator ndugu sio kwa maisha ya sasa labda ungeelezea anayekuzalia atapata benefit ipi
Kwasasa siwezi kumshirikishaMshirikishe