Mke wangu ni mgumba natafuta wa kuzaa naye

Mke wangu ni mgumba natafuta wa kuzaa naye

Utaongeza maumivu kwa mkeo maradufu pia iyo itakuwa ndo anguko la ndoa yako
Kwanza anamaumiv ya kutokushika mimba
Pili umezalisha nje kwa sabbu ya tatizo lake
Pia angalia lisiwe anguko la ndoa yako
NB sumu ya panya Bei poa Sana kuwa makini Sana
Nafahamu ndio maana nataka iwe siri mpaka watoto watakapofikisha miaka 10-12 hata umri wetu utakuwa ushasonga
 
Nafahamu ndio maana nataka iwe siri mpaka watoto watakapofikisha miaka 10-12 hata umri wetu utakuwa ushasonga
Unauhakika utafikia miaka hiyo?je huyo utaekuwa atakuwa na uwezo wa kuzaa km unavyotaka watoto salama?
hatuombei mabaya je mama kapoteza maisha wakat anjifungua mtoto atkaa wapi iyo miaka kumi unayotaka atambulike?utakuwa tayar kulipa gharama ya maumivu utayompa mkeo ??
 
Unauhakika utafikia miaka hiyo?je huyo utaekuwa atakuwa na uwezo wa kuzaa km unavyotaka watoto salama?
hatuombei mabaya je mama kapoteza maisha wakat anjifungua mtoto atkaa wapi iyo miaka kumi unayotaka atambulike?utakuwa tayar kulipa gharama ya maumivu utayompa mkeo ??
Ebwanaeeee mbona tunatishana ?????
 
Nunua incubator ndugu sio kwa maisha ya sasa labda ungeelezea anayekuzalia atapata benefit ipi
 
Watoto wanne halafu mkeo mgumba?
CCM oyeee
Utakuwa hujaelewa bila shaka , rudia kusoma ukiwa umetulia,mgumba sio mke wangu ni mchepuko ambaye nipo naye kwa sasa,huo mchepuko nataka kuubwaga.
 
Back
Top Bottom