Mke wangu ni mgumba natafuta wa kuzaa naye

Mmh Kaka kwa. Sijui Kama wewe Ni mkristo au muislam. Kama Ni mkristo Basi huyo ndio make wako ndio uliyefunga nae ndoa hata mbingu zinajua kuwa huyo ndio was kuzaa nae, kupata Shida hayo Ni matatizo yamejitokea ndani ya NDOA. Kaa katika familia yako bro.
 
Tafuta singo maza yeyote, uanze kumuhudumia baada ya muda utaona matokeo
Mkuu mwenyewe nimejiuliza kwa Nini anataka mwanamke aliyezaa tayari na tena sio mtoto mmoja. Tena kaweka mpaka umri,
Au hajawahi kula mwanamke wa Aina hio, πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜πŸ˜πŸ€£ najiuliza Sana mkuu.
Pia Hakuna mwanamke atakaye kuwa tayari kuzaa tuu hivi Tena ambaye anawatoto aendelee kuwa singo maza, na mke wa mtu atagoma Bado coz Kuna kipindi mtoto atamtaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…