Ishu iko ivi tokea awe na ujauzito huu ni mwezi wa 9 yani kwasasa mimba ina meizi 8 na week2 kwa hiyo kuna maji maji yanatiririka sehemu za uke pale mtoto anapocheza tumboni@Emma
Ni hali ya kawaida kwa umri wa ujauzito. Muda wowote kuanzia sasa anaweza kujifungua. Hapo ni wewe na mkeo kuandaa mazingira mazuri kwake ikiwemo usafiri atakaotumia, nguo za kutosha hasa kanga na vitenge muweke tayari na mengineyo.
Jf bana kiboko, aliyeanzisha uzi ni Shindu Lelo halaf anayejibu wadau ni TWALIBU MAKOSA! Amazing! This means ni Mtu mmoja na I'd mbili tofauti ila kashindwa kuzi-manage!
Eti wadada wa dijitali hawataki makhanga na vitenge/!!
Tupiamo kapicha mkuu
Tupiamo kapicha mkuu
Tupiamo kapicha mkuu
Tupiamo kapicha mkuu
Ishu iko ivi tokea awe na ujauzito huu ni mwezi wa 9 yani kwasasa mimba ina meizi 8 na week2 kwa hiyo kuna maji maji yanatiririka sehemu za uke pale mtoto anapocheza tumboni@Emma
Msaada
Anatokwa na maji maji sehemu za uke pale mtoto anapo cheza.