MKE wangu ni mjuzi wa kila jambo, kamshinda hata MUNGU

wewe ndio umemfanya ajisikie malaika......mwambie kwamba hupendi hiyo tabia yake, asipobadirika na wewe mringie mnyime fimbo ....yako uone


aisee usifanye hili kosa milele aisee unajua katika watu wanaochagua fimbo waakati wowote ni wa jinsia hii hapa nakwambia pengine hizo zote anataka kubadilisha fimbo ajimilikishe kihalali anaona aaibu atamwachaje jamaa weeeeeeee weeeeeeeeeeeeeeeee usimwingize jamaa choocha kike ashaingia kakuta toilet pepa aipo sasa badala ya kumtafutia maji unamfungia mlango aisee kazi ipo
 
kwani na wewe ni mhaya? kama siyo, basi jifunze katelelo mtaenda sawa
 
mambo ya ajabu sana haya mara kuliko mungu,kwanini ukusema kuliko Einstein unamta Mungu hovyoo
pili swala la elimu,kwani nani alikushauri kuoa mke wa chuo wakati elimu yako ndogo...
Umeniudhi sana kwenye ishu ya WAHAYA...hovyoooooooooooooo!!!
 
Hawezi kumshinda Mungu kamwe!!!!
 
mkeo ni laana ya bibi zake ndo inamsumbua.elimu na heshima n njia mmoja asituharibie ce...
 


ndo maana tunasikitika sana watoto wetu wanapofeli masomo, hizi ndoa watazimudu kweli?

Halafu na sisi tunapenda kubadilisha watu kwa kujiona tunayoyaamini, kuyasimamia na kuyaishi ndio sahihi kuliko ya wengine. Huu ni mtizamo mbaya na unachangia sana kuvunja ndoa. Mfano, Mleta mada amesema mke 'ananidharau na ndugu zangu', huyo mke ni wako au wa ndugu zako, una uhakika gani kama hawaheshimu nduguzo au ni nduguzo waianza kutomheshimu mkeo?
 
kweli unahitaji ushauri?umekiri kwenye heading kua mkeo anamzidi muumba so 2takupa ushauri gan?plz jarib kumheshim Mungu hafananishwi na k2 chochote.
 
pole ukina ivyo dawa yake uniletee mimi .nikikuludishia amenyoka atakuwa heshima kila akuonapo
 
pole ukiona ivyo dawa yake uniletee mimi .nikikuludishia amenyoka atakuwa heshima kila akuonapo
 

huyo si mke ni mkegani. Hukusikia ya wazazi sasa damu yakutoka masikioni karume kenge!
 
Huyo mwanamke wako ni mjinga bado hajapata elimu sahihi. Mambo anayoyajua yanamchanga.
 
Pole bana, huo ni ushamba unamwelemea! anaamini yeye ndo msomi kuliko wote, na mwenye ufahamu zaidi ya ufahamu wenyewe, pole bana ndo tabia zao(Nshomile) lakini.

sio nshomile wote wengine hatuko hivo bana,yawezekana chanzo ni yeye mwenyewe,
 
Wako tu kama vp piga taraka tatu fasta, wanawake kibao hata dada yangu njoo nikupe hana tabu.
 
Mhmm!! Hapo kaka sina cha kukushauri maana umeshalikoroga mwenyewe kwa kuoa mke bila ya kufanya uchunguzi wa kutosha. Kitu ninachokushauri ni kuvumilia tu maana maji ukishayavulia nguo huna budi kuyaoga.
 
Heading yako vp?
Nilishituka ulivyosema kamshinda hata mungu!
 
mambo ya ajabu sana haya mara kuliko mungu,kwanini ukusema kuliko Einstein unamta Mungu hovyoo
pili swala la elimu,kwani nani alikushauri kuoa mke wa chuo wakati elimu yako ndogo...
Umeniudhi sana kwenye ishu ya WAHAYA...hovyoooooooooooooo!!!

tehe tehe tehe,wakorawaitu huyoooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…