Mke wangu ni mkorofi hatari

Mke wangu ni mkorofi hatari

Aisee [emoji44]
Kwa uzoefu wangu,Mme na mke mkishaanza kupeleka mashitaka Mara kwa wazazi,kwa balozi sijui wazee Wa kanisa au sijui kwa jirani,hapo hakuna ndoa ni michosho tu,Mimi naamini kuwa ikiwa mke wangu nilimtafuta mwenyewe na tukaelewana sisi wawili hadi kufikia kuoana hivyo na mambo yetu yatamalizwa na sisi wawili,majirani ,padri,mchungaji na balozi kamwe hawezi kuwa suruhisho la ndoa


Hivyo kama mlitafutana ninyi wawili,mnawajibu Wa kuyamaliza ninyi wawili,uamzi ni wako kumeza au kutema,lakini pia bora pengo kuliko jino bovu.

Kuhusu swala la kukuroga hapo anakutisha tu,kumuua mtu au kumroga ni kazi ngumu sana kuna vitu vingi sana yapaswa vikamilishwe ili kutimiza lengo,na nakuambia hawezi kwani inavyoonekana wewe ni muoga Wa nguvu za Giza hivyo anatumia uoga wako kukuendesha,hakika nakuambia utapata tabu sana.

Mwisho ,Maisha ya duniani ni mafupi sana,Fanya uwezavyo uyaishi kwa furaha,kamwe usiruhusu mtu awaye kuvuruga na kuingilia amani ya Maisha yako na kukufanya uteseke ,fukuza oa mwanamke mwingine,akileta jeuri fukuza oa mwingine,hadi siku ya kifo chako,lengo ni kuhakikisha unaishi Maisha ya furaha,babu Yangu alioa Mara tano,mke Wa kwanza alifukuza hivyo hivyo Wa pili ,tatu,nne akaja kufa akiwa na mke Wa tano,lengo lake ilikuwa ni kutoruhusu huyu kiumbe mwanamke anampa tabu maishani mwake.

Ova.
 
Habari wana JF.

Nina mke wangu ni mkorofi kupindukia, ana mdomo, muongo, mchonganishi, ana hasira, mropokaji. Halafu yeye ndo wa kwanza kupiga simu kwa ndugu akiwaambia namnyanyasa sana. Kwakuwa mimi siyo mwepesi wa kutoa taarifa za ugomvi wanaamini asemacho mke wangu ananikosesha amani kiasi kwamba nashindwa kutulia kazini. Nimejaribu kutafuta suluhu kwa wazazi wa pande zote mbili,kaka zake,majirani zetu mpaka kwa balozi lakini haijasaidia chochote.

Mbaya zaidi anajitapa kwa uchawi na nguvu za giza akisaidiwa na mjomba yake ambaye ni mganga wa kienyeji.na kwamba nikimfukuza ataniroga na kuniharibia maisha.

Naomba msaada wenu mke kama huyu nimfanye tuishi kwa amani au tuachane kwa usalama Kabila lake ni Mjita wa Musoma.mara nyingine nafikiria kufanya jambo baya na la hatari lakini moyo unasita.

NAPATA TABU NA NDOA YANGU hadi naona bora nitoe roho nipotee
Umeingia cha kike.

Ushauri.
Ondoka mwachiae kila kitu kaanzishe maisha yako mapya. Hilo ni janga na usioe tena hovyo hovyo hasa watu wa huko.
 
Kuna uwezekano mliingian jatika mahusiano baada ya yeye kuanza kukupenda wewe sio kwamba ulimuhangaikia wewe.

Umeolewa jombaaa.

Chakufanya.. tafuta rafiki au nfugu yake wa karibu mtongoze na hakikisha anajua
 
Sasa nimeaanza kulewa wale wasoma biblia wakisema ...mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenywwe....

Namimi ntaanza kuomba Mungu anipe busara KWENYE kuyaendea Mambo...

Ku over react Ni UPUMBAVU at it's peak
 
Habari wana JF.

Nina mke wangu ni mkorofi kupindukia, ana mdomo, muongo, mchonganishi, ana hasira, mropokaji. Halafu yeye ndo wa kwanza kupiga simu kwa ndugu akiwaambia namnyanyasa sana. Kwakuwa mimi siyo mwepesi wa kutoa taarifa za ugomvi wanaamini asemacho mke wangu ananikosesha amani kiasi kwamba nashindwa kutulia kazini. Nimejaribu kutafuta suluhu kwa wazazi wa pande zote mbili,kaka zake,majirani zetu mpaka kwa balozi lakini haijasaidia chochote.

Mbaya zaidi anajitapa kwa uchawi na nguvu za giza akisaidiwa na mjomba yake ambaye ni mganga wa kienyeji.na kwamba nikimfukuza ataniroga na kuniharibia maisha.

Naomba msaada wenu mke kama huyu nimfanye tuishi kwa amani au tuachane kwa usalama Kabila lake ni Mjita wa Musoma.mara nyingine nafikiria kufanya jambo baya na la hatari lakini moyo unasita.

NAPATA TABU NA NDOA YANGU hadi naona bora nitoe roho nipotee
Mistar ya mwisho nimechekaaaa



Nawaona wanavofurahia wale waliokupenda kwa dhati ukawabetua kisa chaguzi zako.
 
Pole mkuu.

Mkeo ana insecurities, hajiamini, labda aliwahi kutapeliwa kimapenzi,hivyo bado anawindwa na her past experiences!..anatumia vitisho, moja kupata attention yako,mbili ni desperation she want you to remain in her life,

Mkuu simply mkeo ana vidonda, chunguza mahusiano yake ya mwanzo...

Solution ni kumuonyesha unampenda, fanya kila juhudi mfano kumtoa out,kumnunulia kidani etc.... ukiwa constanly reinforcing this in the enda utaona ana relax mkuu......

Jaribu hili nililokushauri, kama halifanyi kazi then mkeo ni mental case,she is not fit for a wife's role,muache tu kwa roho nzuri usiogope vitisho vyake, ukiendelea kuwa nae ilhali unajua ni mental case usije kulia siku moja kuwa umemwagiwa tindikali siku moja
 
dah haya mambo ndio siwezi vumiliaga kabisa.hela inisumbue kuitafuta alafu mwanamke pia asumbue
 
Pole mkuu.

Mkeo ana insecurities, hajiamini, labda aliwahi kutapeliwa kimapenzi,hivyo bado anawindwa na her past experiences!..anatumia vitisho, moja kupata attention yako,mbili ni desperation she want you to remain in her life,

Mkuu simply mkeo ana vidonda, chunguza mahusiano yake ya mwanzo...

Solution ni kumuonyesha unampenda, fanya kila juhudi mfano kumtoa out,kumnunulia kidani etc.... ukiwa constanly reinforcing this in the enda utaona ana relax mkuu......

Jaribu hili nililokushauri, kama halifanyi kazi then mkeo ni mental case,she is not fit for a wife's role,muache tu kwa roho nzuri usiogope vitisho vyake, ukiendelea kuwa nae ilhali unajua ni mental case usije kulia siku moja kuwa umemwagiwa tindikali siku moja
My Dear kesi ya huyu jamaa na Mimi zinafanana hata Mimi nilihisi Ni mental case. Coincidence Ni kuwa Kabila Lile Lile....😩😩😩😩
 
Wajita n watu wa maadili sana ,kuna jinsi anaamini ww unatakiwa kuwa kama mme na jinsi yy anavyotakiwa kuwa kama mkeo ,mila zao ziko ivo ,sasa ww kama baba ndio cobra kwenye mji kwa mjita migogoro itakuwa system yenu ya maisha,
 
Habari wana JF.

Nina mke wangu ni mkorofi kupindukia, ana mdomo, muongo, mchonganishi, ana hasira, mropokaji. Halafu yeye ndo wa kwanza kupiga simu kwa ndugu akiwaambia namnyanyasa sana. Kwakuwa mimi siyo mwepesi wa kutoa taarifa za ugomvi wanaamini asemacho mke wangu ananikosesha amani kiasi kwamba nashindwa kutulia kazini. Nimejaribu kutafuta suluhu kwa wazazi wa pande zote mbili,kaka zake,majirani zetu mpaka kwa balozi lakini haijasaidia chochote.

Mbaya zaidi anajitapa kwa uchawi na nguvu za giza akisaidiwa na mjomba yake ambaye ni mganga wa kienyeji.na kwamba nikimfukuza ataniroga na kuniharibia maisha.

Naomba msaada wenu mke kama huyu nimfanye tuishi kwa amani au tuachane kwa usalama Kabila lake ni Mjita wa Musoma.mara nyingine nafikiria kufanya jambo baya na la hatari lakini moyo unasita.

NAPATA TABU NA NDOA YANGU hadi naona bora nitoe roho nipotee

Mkuu pole sana kwa tatizo Hilo! Kwa sisi wenye Imani tuna amini Mungu hawezi kukupa jaribu ambalo liko juu ya uwezo wako.

Nakushauri usije ukajidhuru kwa tatizo Wala usichukue maamuzi yoyote mabaya juu yake bado una nafasi nzuri zaidi ya hiyo. Nenda mahakamani fungua kesi na umpe talaka na ukubali hata kugawana mali utakuwa huru na maisha yataendelea. Please usije ukaharibu zaidi stand as a man!!
 
Back
Top Bottom