Sijajua hapo sasa nikusaidieje kwa vile kati ya zile methods za problem solving, hii nimetumia First Principle. Au na wewe umekumbwa ganzi la HOFU ya nimonia, kama hawa jamaa walaghai wa Ufipa!???Sijakupata mkuu
Wewe tayari uko kwenye kipindi cha matazamio. Vuta subiri kidogo. Nikinunua kile kitanda cha Shamba Boy, natangaza ndoa faster.Mke wako ni mimi chibonge ila bahati mbaya hutaki, hayo masharti ndiyo unapishana na uliyepangiwa naye. All the best
Okay kwahiyo wengine wote niwakatalie umeweka booking eeh?ila hadi uje ununue kile kitanda mmh siyo leo ππWewe tayari uko kwenye kipindi cha matazamio. Vuta subiri kidogo. Nikinunua kile kitanda cha Shamba Boy, natangaza ndoa faster.
Muuzaji anadai dau langu lipo chini sana!! Elfu 20!!! Kutoka elfu 70!! Kwa kitanda na godoro lake!! Hatari sana.Okay kwahiyo wengine wote niwakatalie umeweka booking eeh?ila hadi uje ununue kile kitanda mmh siyo leo ππ
Hahaaa nilisema hata ntakuongezea japo kidogo jitahidi ila ukaishia na 20 yako ileile, Hivi familia utaitunza kweli wewe πMuuzaji anadai dau langu lipo chini sana!! Elfu 20!!! Kutoka elfu 70!! Kwa kitanda na godoro lake!! Hatari sana.
huyu naye kajiamini nn mpka kutaka kuowa ss tunataka tutoke we unajipendekeza vigezo vyako mke hatafutwi unampta katika namna ambayo hujaipanga .kwa vigezo hivyo mzae wako tu boss ama toi la wachina