Inog01
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 1,291
- 1,961
Habari wanajamvi.Nahitaji kuoa sasa.
Nina miaka 29.
Dini mkristo
Kazi nimejiajiri.
Nahitaji msichana atakayekuwa mke wangu
Umri asizidi miaka 27 .
Dini awe mkristo
Akiwa mweupe ama maji ya kunde ni vizuri zaidi, asiwe chibonge.
Niko serious aliyetayari ani PM tafadhari.
Nina miaka 29.
Dini mkristo
Kazi nimejiajiri.
Nahitaji msichana atakayekuwa mke wangu
Umri asizidi miaka 27 .
Dini awe mkristo
Akiwa mweupe ama maji ya kunde ni vizuri zaidi, asiwe chibonge.
Niko serious aliyetayari ani PM tafadhari.